Baada ya kufika Moscow leo nimeamua kufuatilia saga la Dr. Shika, kumbe anasema ukweli

Baada ya kufika Moscow leo nimeamua kufuatilia saga la Dr. Shika, kumbe anasema ukweli

Nimepata kusikia mabalozi wetu wakitoa majibu ya kukatisha tamaa kwa raia wetu wanapoenda kuomba Msaada. Sipendi kuandika hapa ila nashauri wawajulishe RAIA wote kuwa yeyote atakae kwama ughaibuni ajitegemee asitegemee Msaada wa ubalozi wetu.
 
Naanza kupata mwanga kwa hili tukio na huyu mtu..kuna mambo yanafanyika hapa duniani ukisimuliwa unaweza dhani ni hadithi za juma na uledi..
Umeona! Ndo maana majirani wanasema huwa anaamua kukaa ndani muda mrefu bila kutokq. Na kwa maelezo yake Shika anasema amezaa na wanawake 3 ila hana mke. Huenda anajua kazi yake ndo maana hakutaka kujiweka kwenye family commitments.
 
Nimepata kusikia mabalozi wetu wakitoa majibu ya kukatisha tamaa kwa raia wetu wanapoenda kuomba Msaada. Sipendi kuandika hapa ila nashauri wawajulishe RAIA wote kuwa yeyote atakae kwama ughaibuni ajitegemee asitegemee Msaada wa ubalozi wetu.
Umepata kuwasikia mabalozi au maofisa wa ubalozini?
 
kwa hiyo unatuaminisha dk. shika alijitengenezea hii website kabla ya kwenda mnadani?then he is smthn else
Mm naamini hvo, na kuna walio mtumia kuplan hyo issue ya kuvuruga mnada na Yono wakilijua hlo..
Wanaojua Historia yake ....Magu people ndyo waliomtumia..
Hadi leo hyo pesa haijaingia...si akalipie hzo nyumba...
... Hyo website haifanani na ukubwa wa kampuni lake....haaaa

P.O.BOX 9, Moscow, Russia .
 
unajua uongeaji wa kisomi wa dr shika umewachanganya,hawa wangekutana na yule lecturer aliyedata pale CBE wangekimbia,labda hawajawaji kukutana na vichaa wanaoongea hadi lugha zote za dunia..Mzee kachanganyikiwa sasa imekuja issue ya u SPY ndo imewachanganya wartu kabisa
Mtu unaambiwa alitopea kwenye ulevi akashindwa kumaliza hata masomo huko Russia bado hawaelewi,walahi soma kitabu cha Kalugin utajua hata torture cells za KGB walivyokuwa wana operate ,eti dr shika aliwatoroka KGB
Stupidddddddddddddddddddddddddddddddddd
Mkuu naona unawa crush watu kwa kujiamiiiini wakati details zako unategemea kwenye vitabu.... Kazi ipo!!
 
Kwa kutunga mpo safi sana.

Mchezo wa kuigiza. Kunasiku nitashuha nondo!
Kweli, kwa kutunga nami nimewakubali....wasio kuwa na akili za ziada wataamini hyo story ya kutunga juu ya shika...haaaaa haaaa
P.o. box 9, Moscow, Russia ..
 
Mm naamini hvo, na kuna walio mtumia kuplan hyo issue ya kuvuruga mnada na Yono wakilijua hlo..
Wanaojua Historia yake ....Magu people ndyo waliomtumia..
Hadi leo hyo pesa haijaingia...si akalipie hzo nyumba...
... Hyo website haifanani na ukubwa wa kampuni lake....haaaa

P.O.BOX 9, Moscow, Russia .
hii web imetengenezwa mwaka 1999
 
mwongo kama wewe sijawahi kumwona

web site faki; haifai kabisa

maelezo ya dr niyauwongo ya kutudanganya tulioishia manzese,

money transfer kwa cheque? dunia gani.

kama mmepiga uwongo si muwe waledi? hata matapeli wa tunduma wanawazidi

vipi
Nina wasiwasi na ama masikio yako au uelewa wako mkuu.
 
sasa nimeamini wewe ni Muongo! ni kweli sio wote ambao wako kwenye umoja ila tunajuana wengi hasa walioakaa muda mrefu hapa. Watanzania ambao hupenda kujificha ni wale ambao hawana documents na maisha yao ya kuzuga na ujanja ujanja na na hata hao tunawafahamu. Tunafanya vikao hata watu wa St Peters huja moscow na umoja hauna michango!! acha fix na story ya kutunga, huyo ana matatizo mpelekeni hospital
Asee naanza kuwa na wasiwasi wako mkuu

Yawezekana unaongea vitu usivyovijua. Ninathibitisha kwa asilimia 100 wapo ambao hawajulikani kama ni watz. Walio kwenye umoja au ambao hawapo kwenye umoja lakini wakajulikana ni wale wenye sababu zao maalumu.

Hapo ninawajua watanzania wengi ambao wameingia nchi hiyo lakini wanatambulika ni wa mataifa tofauti tofauti ya afrika
Walio wengi ni kutoka.
afrika kusini
Kenya
Naijeria
Ghana
Na wachache wanatambulika kama kutoka Ethiopia.

Waliowengi hujitambulisha kama watanzania pale wanapokuona unaweza kuwa mtu wa aina yao.

Nadhani unaweza ishi hapo hujui hata tukio lilotoke mwaka jana.

Kama ni mtu wa kuingia ofisini na kutoka, usipende kubisha mkuu
 
yaani watu wakkisikia issues za CIA,KGB wanakuwa fascinated,mass hysteria kabisa hii embu jiheshimuni bana,yaani CIA itumie watanzania na wakenya walioingia kama wanafunzi kuipeleleza Russia?Russia??????Russia? Get the hell outta here,hapa bongo kwenyewe wanakuja kwa style za peace corps na issue nyingine za ku volunteer au kutumia watu wlaio katika embassy zao,naomba msome ESPIONAGE STORIES especially za cold war uone jinsi hawa mabwana walivyokuwa wana operate...
Huyu mzee hakuna anayekataa ni genius lakini ameongea uongo muda mrefu mpaka ameanza kuamini uongo and he stands by it
Tafuta hata mtu anayedanganya umri,akiurudia uongo mara nyingi yeye mwenyewe huanza kuuamini.
Jana nime search majina ya hao ma executives wa hiyo kampuni anayosema ni yake,hahahahahahahaha...JUST HAHAHA
For your information,CIA hawana historia ya kuwatupa watu wao kirahisi hata kama ni MOLES ndiyo maana kipindi cha cold war wengi kama Oleg kalugin wali defect to USA NA Kutunzwa vyema,ilihali upande wa pili walio defect from CIA to KGB kama KIM PHILLBY waliishia pabaya hadi kufa sababu Russians hawajali
NARUDIA TENA,HAIWEZEKANI CIA AU NSA WAKAJUA KUNA MTU ANA SIRI ZAO KAJIFICHA TABATA NA HALI ILE YA MAISHA ,SINCE 2000 MTU YUPO TANZANIA KAPIGIKA NYIE MNA FASCINATE TU HAPA,UNAAMBIWA BABA YAKE KAFA IN 2005 HAKWENDA KUZIKA INGAWA ALIKUWA DAR NA HADI LEO AKIPIGA SIMU NYUMBANI ANAWAAMBIA WAMSALIMIE BABA
CAMON GUYS. SINYWI HII CHAI YA RANGI. NOOOOOOOOOO

Nadhani uelewa tuuu. SI YEYE aliyesama Ni CIA, na hata mleta udhi ajasema Dr ni CIA, watu wanaunganisha dot dot dot, sababu moja ya vidio yake akiojiwa na mwananchi alikana yeye kuhusiana na wamarekani, kilicho tushangaza ni yeye kutaja wamarekani wamemasidai kuamisha fedha zake toko Urusi hapa kuna masawali mengi sana why Him? why zi Ubarozi wa TANZANIA?
 
Baada ya uchunguzi inaonyesha mkuu wa polisi huenda aliona Dr shika ni matawi ya juu anaweza kuwa ni CIA akaamua kusingizia kumuacha ajidhamini, huyu mtu si wa mchezo mchezo.
Kwa kumbu kumbu zako ni watanzania wangapi waliowahi kujidhamini wenyewe??
Hafu unafikiria kuwa Dr. Anajishughuria na shughuri gani mpaka sasa?? Na umejiuliza hizo nyaraka walizochukua wamekwisha zitolea maelezo??
Je ni mamlaka ipi ya kiserikali imeyakanusha madai ya Dr.??
 
Back
Top Bottom