Baada ya kufika Moscow leo nimeamua kufuatilia saga la Dr. Shika, kumbe anasema ukweli

MUNGU amependenda KUJIDHIHIRISHA kwa Dr kupitia MNADA wa Nyumba.
 
Mi nahakika ni spy wa CIA maelezo yake yasikilize vizuri utamuelewa tu
 
Ha ha ha ha..... Haya ukienda tena next time tell us. Mimi next week ntakuwa huko pia. Ntakutafuta.
 
Hamna kitu kama hicho. Labda huwafahm CIA wasingemwacha aje huku aqe anaropoka tu mambo hayo. Huwajui vizuri.

Mi nahakika ni spy wa CIA maelezo yake yasikilize vizuri utamuelewa tu
 
Yes dumped...agent probably.....

Watoto wake hajaeleza wako wapi.

Sio secretary wake tu hata mke...wake...huenda alikuwa mistress wa KGB......
Huyu bila...kupewa ulinzi na TISS ili nao.wajifunze hatachukua...muda watamuuwa ....
Ninaona.muda sio...mrefu atatoweka mtaani for good or worse .
 
Agents wamefundishwa kutoroka ...mbinu aliyoitumia kutoroka ni kama...aliyoitumia jasusi wa Tanzania aliyekamatwa na majeshi ya Amin aliteswa sana na wenzake wawilli wote toka TPDF waluuwawa ( source MATEKA MPAKANI)

Pia kuna jasusi wa Tanzania aliyewatoroka wa south afrika makaburu enzi za ubaguzi wa rangi baada ya kuingia na kulipua mtambo wa nuclear uliokuwa unajengwa kwa ajili ya kushambulia nchi za mstari wa mbele (source MBIO ZA JASUSI)

Hivyo vitabu viwili ni diclassified memoirs za jasusi wa Tanzania Maj (ret) Flowin kageuka .....ambaye kwenye tukio la kwanza ni yeye alitoroka
 
UNAULIZA HILO MKUU YULE MBONA KITAMBO TOKA YUKO KIJANI SPY WAKUTOSHA NAONA KARUDI ILI AMSAIDIE DAB KUWADAKA VIZURI MANAKE DAB ANA MAARIFA MADOGO KWENYE UDAKAJI....
Chadema wako vizuri sana kwenye ujasusi

Ccm wamepwaya kutokana na kutumia zaidi Tiss ...kwenye mambo yao,maafisa wa TISS wameapa utii kwa nchi sio chama kwahiyo nao kama...raia wana...vyama vyao wanavipenda kimoyomoyo ..wako inside pro ccm na opposition na ngumu kujua
 
Kakata tamaaa na huenda kama...ni mnyama anarusha rusha miguuu
 
Nadhani usalama wanaenda kumuomba ajoin kwenye chama, maana anaonekana ni mtaalam kuliko wao!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…