Baada ya kufika Moscow leo nimeamua kufuatilia saga la Dr. Shika, kumbe anasema ukweli

Baada ya kufika Moscow leo nimeamua kufuatilia saga la Dr. Shika, kumbe anasema ukweli

Lancefort Ltd ni kampuni iliyosajiliwa nchini Russia miaka kadhaa iliyopita, na kwasasa haifanyi kazi kwa kipindi kirefu baada ya watendaji wake kupotea gafla kwa mazingira ya kutatanisha.

Kutoka mjini Rostov on don napokaa mpaka Moscow ni mwendo mrefu kidogo ambao ni km 1200 na zaidi, kwa mwendo wa trein ni 5hrs,
nimefika mjini moscow na kuanza kuuliza hasa legality ya kampuni hiyo ndani ya moscow na Urusi kwa ujumla, nimefanikiwa kupata maelekezo ya kukutana na Mtanzania mmoja (Elibariki Dishon) anaisha mtaa wa Tverskaya Street, ambaye kanikaribisha na kuanza kufanya uchunguzi wangu, nikaamua kwanza nipate hifadhi ndani ya hotel ya Sputnik.

Baada ya kwenda kwa watanzania wanaoishi huku nimegundua huyu mzee alipata matatizo kwa kuhisiwa ni spy wa Marekani, ambaye kapandikizwa kutokea Afrika, na amekuwa akitafutwa na kufuatiliwa nyendo zake zote kuanzia kwenye kampuni yake na nyumbani alipokuwa anaishi.
Mke wake bi Luisa Kvonkov ndo alibanwa na kueleza kwao ni Tanzania Magu, Lakini inasemekana kwamba kuna kampuni kubwa la kimarekani aidha shirika la upelelezi ambalo liko nyuma ya kampuni ya Lancefort, ndio chanzo cha kutiwa msuko suko uko alikokuwa anamiliki kampuni hiyo.

Shirika la Lancerfort limekuwa likimiliki asset kubwa nchini urusi na kwingineko duniani wakati chanzo cha hela yao hakijulikani, hivyo moja kwa moja kuhisiwa ni miongoni mwa mashirika ma spy ambao wafadhili wake ni wamarekani ambao wana uhasama wa mda mrefu na Urusi.

Wametelekeza mali nyingi kukiwemo na private jets na magari ya thamani.

Kupitia wapelelezi wa ndani ya urusi ambao walilichunguza shirika ambalo inasemekana rais wake ni Dr Luis Shika kwa kipindi kile, waligundua mawasiliano ya karibu na baadhi ya mashirika yafuatayo AMNESTY INTERNATIONAL, CIA, FBI , HGRE, OKLE, ambayo mara nyingi huwa ni waanzilishi wa upelelezi katiKa nchi nyingi,

Baada ya kugundua hayo walitekwa na kuwekwa mateka na wawili kuuwawa, mmoja wapo akiwa mkenya Edward Koinange na mwingine wa Siera Leone Yunusu AKhbu, Na wawili kukimbilia Tanzania lakini Rais wao akapelekwa hospitali baada ya kuwatoroka akiwa ameumizwa vibaya, hakutibiwa Urusi alitoroshwa kinyemela mpaka mjini Dnipro Ukraine, na kutoroshewa Tanzania,
Baada ya kufika Tanzania hakuenda moja kwa moja kwao akajificha mjini Dar es salaam, (Haya ni maelezo kwa mujibu wa mtu wake wa karibu)
Baadae kutorokea Uhispania Mjini Malaga , amekaa malaga miez 8 Na kurudi Tanzania,

Mwaka 2012 wakaidhinisha malipo kutoka marekani ambayo bado yapo kwenye mlolongo wa
kukamilisha mchakato,

WITO KWA BALOZI ZETU TUNAOMBA MUWASAIDIE HAWA WATANZANIA WANAOKUWA NA MATATIZO MUWASAIDIE

Tukiachana na Shika wapo watanzania wengi wanaokosa msaada wa karibu sana kutoka Kwa balozi zetu hizi ,

Ukisoma ukatafakari haitadhuru

Tufanye nimemaliza

KUNA MENGI SITAYAANDIKA HAPA KUTOKANA NA KUJUA KWAMBA KUMBE HII ISHU NI CRUCIAL , NA KULINDA USALAMA WA DR,

PIA YATAENDELEA KUWA KUMBUKUMBU ZANGU NA KUZIPELEKA MAALI ZITAITAJIKA KWA KUMSAIDIA DR,

USIKURUPUKE KUKOPI HABARI HII, MAANA CODES ZOTE NINAZO MIMI UTASHINDWA KUITETEA,MTU PEKEE MWENYE UWEZO WA KUWEKA EVIDENCE NI MIMI, IKITOKEA UKAKOPI SEMA UMEITOA WAPI,

Britanicca

fac4c12cdf742cab874da9e575e22549.jpg
MUNGU amependenda KUJIDHIHIRISHA kwa Dr kupitia MNADA wa Nyumba.
 
Mi nahakika ni spy wa CIA maelezo yake yasikilize vizuri utamuelewa tu
 
Ha ha ha ha..... Haya ukienda tena next time tell us. Mimi next week ntakuwa huko pia. Ntakutafuta.
 
Hamna kitu kama hicho. Labda huwafahm CIA wasingemwacha aje huku aqe anaropoka tu mambo hayo. Huwajui vizuri.

Mi nahakika ni spy wa CIA maelezo yake yasikilize vizuri utamuelewa tu
 
Dumped agent yeyote huishia hivyo unavyomuona Dr Shika, ukumbuke tayari dish limeshachezeshwa na KGB na inaonekana CIA wanalijua hilo ndio maana wanamdanganya hela zako zinakuja usihofu na mwisho wake ndio hivyo mpaka mauti yamkute tena afadhali yake wamemdump akiwa hai wengine wanauwawa tu nakutupwa..
Yes dumped...agent probably.....

Watoto wake hajaeleza wako wapi.

Sio secretary wake tu hata mke...wake...huenda alikuwa mistress wa KGB......
Huyu bila...kupewa ulinzi na TISS ili nao.wajifunze hatachukua...muda watamuuwa ....
Ninaona.muda sio...mrefu atatoweka mtaani for good or worse .
 
Sijaanza kuamini Dr Shika alikuwa CIA agent, lakini nawewe usikalili kwamba KGB hawawezi kutorokwa, wao ni wakina nani? wala sio mungu... ukisoma nyaraka nyingi tu unaambiwa ni mafia wengi walio watoroka Agent wengi wa usalama duniani tena vitengo vikubwa vinavyoaminika kama CIA, KGB, M16 na takataka nyingine, mfano mkubwa ni Edward Snowden ingawa hakutiwa nguvuni lakini alithubutu kuionesha CIA si miungu..
Agents wamefundishwa kutoroka ...mbinu aliyoitumia kutoroka ni kama...aliyoitumia jasusi wa Tanzania aliyekamatwa na majeshi ya Amin aliteswa sana na wenzake wawilli wote toka TPDF waluuwawa ( source MATEKA MPAKANI)

Pia kuna jasusi wa Tanzania aliyewatoroka wa south afrika makaburu enzi za ubaguzi wa rangi baada ya kuingia na kulipua mtambo wa nuclear uliokuwa unajengwa kwa ajili ya kushambulia nchi za mstari wa mbele (source MBIO ZA JASUSI)

Hivyo vitabu viwili ni diclassified memoirs za jasusi wa Tanzania Maj (ret) Flowin kageuka .....ambaye kwenye tukio la kwanza ni yeye alitoroka
 
UNAULIZA HILO MKUU YULE MBONA KITAMBO TOKA YUKO KIJANI SPY WAKUTOSHA NAONA KARUDI ILI AMSAIDIE DAB KUWADAKA VIZURI MANAKE DAB ANA MAARIFA MADOGO KWENYE UDAKAJI....
Chadema wako vizuri sana kwenye ujasusi

Ccm wamepwaya kutokana na kutumia zaidi Tiss ...kwenye mambo yao,maafisa wa TISS wameapa utii kwa nchi sio chama kwahiyo nao kama...raia wana...vyama vyao wanavipenda kimoyomoyo ..wako inside pro ccm na opposition na ngumu kujua
 
Swali ni hili, ni agent mjinga kiasi gani afanye tukio litakalo muexpose na KGB wajue aliko?
Yani agent aliwatoroka KGB hata jina hakubadiri yuko anaishi dar na awe reckless kwenda kufanya tukio la kujiexpose?
Kisha atoe historia ya kutekwa kwake?
Does that make sense to you kuwa Dr ni bonge la agent kama unavyoaminishwa?
KGB wamemuua agent wao aliyetorokea London na akawa analindwa washindwe kumuua shika kama kweli alikuwa agent na katoroka na kajiexpose??
Kakata tamaaa na huenda kama...ni mnyama anarusha rusha miguuu
 
Duuuh..., haya ndio aliyaeleza Dk. Shika, japo alisema kwamba waliomteka na kumkata vidole walikuwa wanataka dollar milioni 1.5 na sio kwamba walimtuhumu kwa uspy. Usalama wa taifa Tanzania wanakula pesa za bure tu, hii kazi uliyoifanya ilibidi wao ndio waifanye
Nadhani usalama wanaenda kumuomba ajoin kwenye chama, maana anaonekana ni mtaalam kuliko wao!
 
Back
Top Bottom