Baada ya kufika Moscow leo nimeamua kufuatilia saga la Dr. Shika, kumbe anasema ukweli

Huyu bwana ana akili timamu, hajarukwa akili kama wengi tulivyoamini.
Huyu jamaa ana akili timamu ila kwa maelezo yote hayo. Hana hiyo kampuni ni kiini macho cha kazi aliyokuwa anafanya
 
Aisee, maneno mengi yanaungana na ukweli, ila in reality unawezaje kuwatoroka KGB kindezi ndezi kama alivyosema yeye?
Inavyosemekana Dr shika alikua trained na hata katika mateso hayo nahs they got nothing... na inaonekana wali mu underestimate thus why.., na kumbuka kuna wenzake waliuliwa ... na pia cdhan kama alikuja dar directly kuhofia kua tracked yupo vizur ukilinganisha na msaada uliopo nyuma ya pazia
 
Kwa jinsi jamaa anavyoongea systematically, inaonesha ana akili zake timamu kabisa. Ila kuna masahibu makubwa amepitia ndo maana yuko hivyo.
 
A cock and bull tale not worthy of anybody who claims to be a scholar in a foreign country on Tanzania government sponsorship. You deserve to be starved to death in Russia, Ukraine or wherever it is your bogus claim to academia got you there.
 
Na kirusi.mzee.anakigonga vema
Nadhani habari zake kirefu tunaweza kuzipata ktk makala za kirusi. Wengi wetu hatuna uwezo wa kuelewa kirusi tunaishia kutengeneza stori.
Katika hayohayo machache yaliyopatikana, ni kwamba Jasusi ana namna nyingi ya ku fake life style..msimchukulie poa tu.
Watengeneza filamu na waandishi wa vitabu vya kipelelezi kaeni naye huyu mzee atawapa stori itawaingizia pesa nyingi.
 
Kina nani wana mahekalu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…