Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ExactlyNadhani kama ukweli ndio huu probably Dr. anajuwa kucheza na akili ndogo akijuwa kwa vyovyote vile atapata airtime nzuri bila ya tozo lolote.mwisho wa picha anafanikiwa jambo lake pasipo na kadhia...
Libarikiwe tumbo lililofanikisha uwepo wako hapa Duniani bila kuwasahau wote waliouwezesha ubongo wako kuwa wa Mwanadamu haswa...Na sijawahi ona mtu mwenye akili za kupindukia na very smart akawa materials guys! mfano mzuri tu ni mafundi uashi, kaangalie nyumba wanazoishi na zile walizotujengea, mara nyingi watu smart huamini katika visions na achievements! Na kwa kawaida ya watu wanamna hii ni watu wenye imani ya kupindukia, akiamini kuwa taa ya maono iliyowaka kichwani mwake basi, kinachofuata nikuushirikisha moyo wake na kuanza kufuata process au formular inayomuongoza kufikia malengo yake! Respect for all you people, you have or not!
[emoji1] [emoji1] unaama hotel mkuu?Mimi mazungumzo ya wazi hapa ndo nayataka, sikujata jina lake kamili kwa sababu za usalama wake maana habari hizo na nyingine alizotoa ni za kutisha,
pili usijidanganye kwamba watanzania Wote wako kwenye umoja huo, nenda pale chuo st Petersburg nenda Moscow mzima utakutana na watanzania, ambao hawako katika umoja huo,
Umoja huo au wa watanzania au watanzania wengi wanaoishi nchi mbali mbali huwa unakuwa engineered na balozi zetu ambazo ukimbilia sana michango , lakini pia watu mbali mbali wana mambo mengine ya privacy, hawataki kujiexpose kwenye umoja kwa sababu zao japo ina weza kumcost akipata tatizo lakin balozi zetu mtu akipata tatizo response haiwi nzuri mi nimeexperience suala hilo sana,
Hata hotel nilipo ngoja niame aisee maana
Enhee picha gani mkuu?Nimeunganisha dots, nimepata picha
Maana yake?Mmmh kyoma bita si?
kuhusu historia yake kwa ujumla mpaka kufika moscow na kurudi Tz na mengine mengiKuhusu nini
Ameropoka Snowden sembuse Dokta Shika mkuu?Lengo ni kujustify ulichokisema...
Huwezi kumuacha agent chizi ovyo aanze ropoka ropoka hujui mangapi atasema kama kweli alikuwa agent.
Hizi ni kahawa tu zilizozidi uchungu
Uzi umeingiliwa na boxKwa hiyo akili ya kudanganya kuwa Urusi,China,Hong Kong,USA sio kigezo cha kudanganya watu Mimi nashinda huko situmii kujua hizo Nchi nidanfanye watu ..ukitaka chai zipo nyingi sana wasafiri wanajua kuzitengeneza
Napiga deal Kkoo box nabebea bongo huko tunaenda kuchukua mizigo...Uzi umeingiliwa na box
hahahaha nimeama[emoji1] [emoji1] unaama hotel mkuu?
Duuhh, "umeama" Kuama ndiyo nini?hahahaha nimeama
HahahaahHaaaaaa!
Mkuuu ulikuwa hujui
Huyu jamaa kwanza anaonekana anauzoefu mkubwa wa jera zilizonyingi,
Mtu katoka lupango uso wake uko kama vile katoka tabata kula bata??
kiswahili hutumika kama kigezo cha kupanga hotel?Duuhh, "umeama" Kuama ndiyo nini?
Kwa kiswahili hiki sidhani kama unaweza kulipia hotel wewe.
Alijidhamini mwenyewe...raia wachache sana huruhusiwa kujidhamini, mwingine niliyewahi kusikia amejidhamini ni Edward LowassaHv ni nani alieyemdhamini jamaa polisi?
Dingi mkaushie huyo...anazinguakiswahili hutumika kama kigezo cha kupanga hotel?