MdengestanfromCuba
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 629
- 658
Daah Dr mtata asee, ila hii ya kushirikiana na wamarekani binafsi niliihisi tangu mwanzo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
next week nakutana na mzee aliyemuunganisha na wamarekani nitaandika documentary kabisaDaah Dr mtata asee, ila hii ya kushirikiana na wamarekani binafsi niliihisi tangu mwanzo
yesDaaaah britanicca
mi ni mjanga , sigusi wanawake wao, nawagusa kwa kuiba, sigusi hela yao na hawajui hela yangu basi, na sichangii mjadala wa kisiasa au melngo wa ubepari na ujamaa , niko kimyaHuko urrus watakushika na wewe!!
Mkuu kwa nchi Kama hiyo natakiwa ni ishije?!?!mi ni mjanga , sigusi wanawake wao, nawagusa kwa kuiba, sigusi hela yao na hawajui hela yangu basi, na sichangii mjadala wa kisiasa au melngo wa ubepari na ujamaa , niko kimya
semalo ni kweliMkuu kwa maelezo yako!!
Bila Shaka Dr yupo sahihi pia nadhani n either spy au ubaguz ulimponza!!
Nadhani Dr n spy coz
Vijiwe alivyokuwa anapenda kutembelea ni US 4c.swali je? Alikuwa anaenda kufata nini?!?!
Pia nadhan hakuwa cyo spy but kutokana na ubaguz wa huko ikabid wamchunguze na inaonyesha alikuwa na mshiko kweli!! Mpak kuwashawish waruss waliosoma finance kujoin naye!!
Wasi wasi wangu upo hapa!
Je?Dr alikuwa anatumiwa pengine bila kujua?!?! Na pia kwanini huyo mwanahisa mwenzake familia yake ilingia matatani?!?!
Concl😀uniani kuna mambo mazito na ya ajabu Sana'a!!habar ya Dr imekuwa ngumu coz wengi hawaamin na hawaelew mambo ya kijasusi na Y?!? Awe yeye tu!!
Mkuuu huwez tengeneza group la wasp?
maisha ya shika yalikuwa hatarini sanaIt should be a movie
Dr kaacha maswali mengiu
semalo ni kweli
kwanini nilitengeneze aisee sitaki wasiojulikana kujua idendity yangu aisee, ila ntafikiriaMkuuu huwez tengeneza group la wasp?
Dadavua mkuuUnatulisha matango pori. Huyo kijana anaitwa Fuat Kurbanov na sio Max Kurbanov. Falzlidin Kurbanov anatumikia kifungo cha miaka 25 jela huko marekani.
Mmmh mkuu ya kweli hayo?!next week nakutana na mzee aliyemuunganisha na wamarekani nitaandika documentary kabisa