Baada ya kufiwa na mpenzi wake, Lulu arudi Instagram kwa kishindo

Mi nachokaga na watu huko eti nakupenda lulu nakupenda wema jamaniii,,wanawapenda mno hawa wasaniii loo yaan mi nikijitahidi sana ni like natoa basiii wamekazana nakuoendaa hata hawajibiwiii

Kuna mwingine ali comment jana kwa diamond, eti ukoo wao wote wanamkubali diamond, nikasema uo ukoo una utindio wa ubongo sio bure, ushabiki gan nfyuuu
 
Kuna mwingine ali comment jana kwa diamond, eti ukoo wao wote wanamkubali diamond, nikasema uo ukoo una utindio wa ubongo sio bure, ushabiki gan nfyuuu

Yaan mi sijaona wa kumwambia nampendaa aiseee mi nikiamuaga kuchamba nachamba nilimchamba shamsa eti aliandika sijui nini atakaejibu vizuri anampa fursanya kuonana nae live,nikamuambia khaaa!!yaan wewe ndio wa kuonana live una kipi cha kushangazaaaa
 
Yaan mi sijaona wa kumwambia nampendaa aiseee mi nikiamuaga kuchamba nachamba nilimchamba shamsa eti aliandika sijui nini atakaejibu vizuri anampa fursanya kuonana nae live,nikamuambia khaaa!!yaan wewe ndio wa kuonana live una kipi cha kushangazaaaa

Natamani binamu nifungue account insta ,sema naogopa watafanya mambo yao then watajua jina langu, yan natamani kweli nianzishe mtanange kule insta
 
Natamani binamu nifungue account insta ,sema naogopa watafanya mambo yao then watajua jina langu, yan natamani kweli nianzishe mtanange kule insta

Fungua binam lo fungulia email fake namba feki watakupatajeee
Hivi matikibokoyao alikamatwaje wakati yupo china au alikuja bongo niniii
 
Fungua binam lo fungulia email fake namba feki watakupatajeee
Hivi matikibokoyao alikamatwaje wakati yupo china au alikuja bongo niniii

Yule si anajulikana mbona
 
Yaan mi sijaona wa kumwambia nampendaa aiseee mi nikiamuaga kuchamba nachamba nilimchamba shamsa eti aliandika sijui nini atakaejibu vizuri anampa fursanya kuonana nae live,nikamuambia khaaa!!yaan wewe ndio wa kuonana live una kipi cha kushangazaaaa
Punguza wivu we mrembo.
 
Nina mashaka na hii kitu pia, coz jana hta mm nlijarbu kuifollow na cha kushangaza ime acceptiwa ki2 ambacho sio kawaida kwa ma star kufollow back
 
I just like huo mchanganyo.. mchaga + mhaya =........

Kuna aliyevunja rekodi ya matusi majuzi hapa bibie stara..ingawa alichokozwa ni shidaaa
 
Mi nachokaga na watu huko eti nakupenda lulu nakupenda wema jamaniii,,wanawapenda mno hawa wasaniii loo yaan mi nikijitahidi sana ni like natoa basiii wamekazana nakuoendaa hata hawajibiwiii

Hahahahahah nakupenda mpaka naumwaaaa. Kujichoresha tu
 
I just like huo mchanganyo.. mchaga + mhaya =........

Kuna aliyevunja rekodi ya matusi majuzi hapa bibie stara..ingawa alichokozwa ni shidaaa

Niliona nilicheka balaaa ana maneno machafuuuuu khaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…