Baada ya Kufulia sasa nahisi Gari inatumia mafuta vibaya

Baada ya Kufulia sasa nahisi Gari inatumia mafuta vibaya

CHIBA One

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2018
Posts
558
Reaction score
2,093
Hili linawezekana ikawa ni kwa sababu ya tabia yangu ya sasa baada ya Kuyumba kiuchumi, naweka mafuta ya 30, 20 mpaka 10.

Gari yangu ni 1.8L petrol, trip zangu nyingi ni town trip then home ambazo hazizidi Km 13, nilizoea nikiweka mafuta ya 40k ambapo nilikuwa napata karibu lt 17 niliweza kwenda town na kurudi zaidi ya mara 6 ndiyo taa ya mafuta inawaka.

Nimewah kuweka mafuta lt 10 na nikagundua nimetembea kama Km 86 town trip kabla ya taa kuwaka.

Kinachotokea kwa sasa ni kwamba mara nyingi taa yangu ya mafuta inawaka, na nikweka mafuta ya 10k kwa bei ya sasa taa haizimi, nikiweka ya 15 ambayo ni ltr 4.2 inazima kwa muda ila nikienda almost 15km Inawaka tena.

Hebu nishaurini, ....ni kwa sababu nakomba sana mafuta mpaka ya reserve mpaka taa haizimi (Maana kuna muda naweza nikatumiabya reserve kwa zaidi yakm 20) au nishaua pump na oxygen sensor? Nikaweke plugs Mpya? Ama shida ni nini kwa matumizi Haya ambayo kwa kweli ni makubwa?
 
Hili linawezekana ikawa ni kwa sababu ya tabia yangu ya sasa baada ya Kuyumba kiuchumi, naweka mafuta ya 30, 20 mpaka 10.

Gari yangu ni 1.8L petrol, trip zangu nyingi ni town trip then home ambazo hazizidi Km 13, nilizoea nikiweka mafuta ya 40k ambapo nilikuwa napata karibu lt 17 niliweza kwenda town na kurudi zaidi ya mara 6 ndiyo taa ya mafuta inawaka.

Nimewah kuweka mafuta lt 10 na nikagundua nimetembea kama Km 86 town trip kabla ya taa kuwaka.

Kinachotokea kwa sasa ni kwamba mara nyingi taa yangu ya mafuta inawaka, na nikweka mafuta ya 10k kwa bei ya sasa taa haizimi, nikiweka ya 15 ambayo ni ltr 4.2 inazima kwa muda ila nikienda almost 15km Inawaka tena.

Hebu nishaurini, ....ni kwa sababu nakomba sana mafuta mpaka ya reserve mpaka taa haizimi (Maana kuna muda naweza nikatumiabya reserve kwa zaidi yakm 20) au nishaua pump na oxygen sensor? Nikaweke plugs Mpya? Ama shida ni nini kwa matumizi Haya ambayo kwa kweli ni makubwa?
kwa gari yako ya 1.8l,nafikiri kama inakula sana mafuta,basi walau iwe 8km/l,,sasa umbali kutoka kwako mpaka town,na kurudi home unakuwa umetembea km ngapi?ongeza kiwango cha pesa ili upate lita nyingi,mafuta yamepanda bei mkuu,toyota wish ya jamaa yangu inaenda 13km/l,ila ni mpyampya bado...
 
Maisha haya ya kununua Lita moja TSH 3224/= sio masihara,Leo ni siku ya pili nimepaki Tu naona mizinguo Tu kwasababu ili uweze kwenda mjini inalazimu nitumie mafuta ya TSH 20000 bado parking Hadi jion TSh 2000(sehemu ambayo napaki) alafu unarud home na TSH 40000-50000.
Acha nipande bajaj Tu sio ishu
 
Maisha haya ya kununua Lita moja TSH 3224/= sio masihara,Leo ni siku ya pili nimepaki Tu naona mizinguo Tu kwasababu ili uweze kwenda mjini inalazimu nitumie mafuta ya TSH 20000 bado parking Hadi jion TSh 2000(sehemu ambayo napaki) alafu unarud home na TSH 40000-50000.
Acha nipande bajaj Tu sio ishu
Pole sana ndugu, mafuta bei sana sasa usipopiga hesabu vizuri hela tunazopata sitaishia kula nyumbani na mafuta ya gari mwaka mzima unaisha benk unajikuta balance elfu 50 hakuna tulilofanya ni kula, mafuta ya gari , kodi ya pango daaaa, hatari sana haya maisha.

Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
 
Mafuta yamepanda bei. Unapata lita chache kuliko ulizokuwa ukipata kabla. Kama inawezekana punguza mizunguko na gari. Zile short trip za ndani ya maeneo yako ya kazi avoid kutumia gari.
 
kwa gari yako ya 1.8l,nafikiri kama inakula sana mafuta,basi walau iwe 8km/l,,sasa umbali kutoka kwako mpaka town,na kurudi home unakuwa umetembea km ngapi?ongeza kiwango cha pesa ili upate lita nyingi,mafuta yamepanda bei mkuu,toyota wish ya jamaa yangu inaenda 13km/l,ila ni mpyampya bado...
Engine hio ya 1.8L ikiwa na gearbox ya CVT inaweza kupa 14km/l ambayo ndivyo ilivyo kwenye Wish. Ila Engine hio hio ikiwa mated na gearbox ya traditional Automatic inakupa 8-9 km/l so naona sio mbaya.
 
Engine hio ya 1.8L ikiwa na gearbox ya CVT inaweza kupa 14km/l ambayo ndivyo ilivyo kwenye Wish. Ila Engine hio hio ikiwa mated na gearbox ya traditional Automatic inakupa 8-9 km/l so naona sio mbaya.
Cvt za Nissan zina shida gani? Naona zinalalamikiwa.
 
Back
Top Bottom