Baada ya kufunga ndoa, Lucy Komba awalipua wabaya wake

Mjini kuvaa shela sio masiara unahitaji juhudi binafsi sana.

Ila kweli kuvaa shera sio mchezo, mama ubaya kila siku anaota walau hata aolewe jumamosi jumatatu aachike ili tu aonekane kaolewa, kuolewa bahati, wamuache cheusi dawa bhana, halafu kaolewa na mtasha apo bongo movie lazima wachonge, maana wao hata akina abdala msogoti wa kuwaoa hawajapata na hawatarajii
 
Maskini wema, ndio umeshachakazwaaa hivyo, haya unaachwa, sijui nani atafuatia baada ya dai...
 
kwanza mi sijaona kama wanafuraha haw maharusi ni kama wamebebana tu twende kanisani.halafu anaringishia huyo mdern bora hata angekua mweusi. ushamba tu.picha zenyewe full mapozi ya ajabu.wazungu nao watu.dakika mbili mbali
 
Cheusi dawa yupo vizur, maana kwao zipo na si unajua sharti la mtoto wa kishua lazima lugha ya malkia ipande? Maana kashafanya movie kama nne uko ghana na australia na rwanda

Ok nlikua namchukulia poa sana na movie zake zile yupo na mussa banzi au HK kumbe wa kishua ila kakaa kiswazi!
 
Alafu huyu mzungu ni grade 4 (yani mzungu daraja LA mwisho) kule Denmark.
 
Last edited by a moderator:
Et wakapata na ajali wakazama aisee nimecheka na kusikitika ,ila huwez jua walitaka wao hivyo kwan unadhan mzungu hakua na pesa ya shela nzuri,wazungu hua hawajali kuhusu mavazi bana
Shoga si kila mzungu Ana hela..wengine ni chokest hata wabongo wana afadhali. Mzungu mwenye maisha yake asingetokezea vile ndo maaba Lucy kimemuuma. Kuna pamba za ukweli ambazo hata kama sio suti bado angeonekana classy. Kimuonekano pale kachoka tu. Ni Kama babu aliyeko kwenye profile yangu. Mzungu mwenye maisha yake ni nadra Sana kuoa mbongo wa kawaida labda kwa uchawi. Wengi Wanaokuja kuoa waafrika no daraja LA mwisho kielemu, kimuonekano n.k. tena hao nordic na Scandinavia ni wabaguzi Sana..
 


Lakini anatosha jamani kampenda mwenyewe eti Mrembo
 
Last edited by a moderator:
Lakini anatosha jamani kampenda mwenyewe eti Mrembo

Kwani tumebishaaaa (kwa sauti ya masanja) ila aache vijembe bwana. Oohh sizini tena ooohhh sijui nini aachane kujibizana na walimwengu hatawaweza. Kama sisi hapa hatuoni ila ndio tunamteta aje basi atujibu hahaha
 
Last edited by a moderator:
Kwani tumebishaaaa (kwa sauti ya masanja) ila aache vijembe bwana. Oohh sizini tena ooohhh sijui nini aachane kujibizana na walimwengu hatawaweza. Kama sisi hapa hatuoni ila ndio tunamteta aje basi atujibu hahaha

Kwa hiyo huyo mzungu ni sawa na yule wa kule mtaa wa pili eti
 
Kwa hiyo huyo mzungu ni sawa na yule wa kule mtaa wa pili eti

Dina bwana mbona wa mtaa wa pili yuko juu kulinganisha na honey wa Lucy. Mzungu choka mbaya unamjua kwa muonekano. Ujue ngozi zao hazihimili hewa ya asili lazima kuwepo kwa product za kung'arisha walau. Ukiona mzungu amepauka vile kuna shida. Nakuapia yule sidhani Kama hata elimu anayo kwa ninavyo mthaminisha. Ingekuwa bongo ile ni std 7 ambayo kikwao ni videgode (spelling nimekosea) skole.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…