Baada ya kufunga solar power kijijini kwangu vitimbwi vimeanza

Baada ya kufunga solar power kijijini kwangu vitimbwi vimeanza

wadau amani kwenu

jana niliamka mapema asubuhi nikaamua kufanya usafi kuzuunguka nyumba yangu kabla ya kufungua biashara yangu duka

Baada ya kufanya usafi mama watoto akaniambia chai na mihogo tayari,nikamjibu anipelekee maji ya kuoga kwanza ili nikimaliza chai nifungue biashara moja kwa moja,bas mama watoto akatekeleza yale maagizo

Nikaingia chooni nikatupa taulo yangu juu ya mlango si mnajua vyoo vyetu vya mikoani nikaamua nikate gogo kidogo,wakati nimechuchumaa ghafla nikasikia nywiiiiiii yaani kwenye pumbu ,kama mtu aliechomwa sindano kwenye pumbu maumivu yake

Nikaruka kimo cha ng'ombe mtoto nikanguuka kwa kishindo,mara wife na watoto na shemeji zangu wakanikuta
6718a6100ff950a13e1b1b4e6afba567.jpg
Afu nasuburi umalizie story
 
Mavi na uchawi ni stories maarufu sana kwa wabongo wengi.

Naona wewe umezichanganya zote pamoja kupata maximum effect.

Halafu unajua kuacha cliffhanger kuliko "Isidingo".
 
wadau amani kwenu

jana niliamka mapema asubuhi nikaamua kufanya usafi kuzuunguka nyumba yangu kabla ya kufungua biashara yangu duka

Baada ya kufanya usafi mama watoto akaniambia chai na mihogo tayari,nikamjibu anipelekee maji ya kuoga kwanza ili nikimaliza chai nifungue biashara moja kwa moja,bas mama watoto akatekeleza yale maagizo

Nikaingia chooni nikatupa taulo yangu juu ya mlango si mnajua vyoo vyetu vya mikoani nikaamua nikate gogo kidogo,wakati nimechuchumaa ghafla nikasikia nywiiiiiii yaani kwenye pumbu ,kama mtu aliechomwa sindano kwenye pumbu maumivu yake

Nikaruka kimo cha ng'ombe mtoto nikanguuka kwa kishindo,mara wife na watoto na shemeji zangu wakanikuta
Stori zako zinaniachaga hoi kwa vicheko lakini yote yanachagizwa na Avatar yako yaani kuna jamaa mnafanana sana, naye pia ni kama yupo mbele dakika kama sita ama zaidi kidogo. Lakini ni mkali kwa akina dada, jamaa akifanyakazi / vibarua akipata pesa yupo radhi alale njaa lakini wavaa sketi wasimpite ingawa ndo hivyo wengi uwa wanamtapeli lkn wakati mwingine uwa anafanikiwa.
Jamaa yupo mikoa ya kanda ya ziwa, Sijui ni ndugu yako ama?
 
Back
Top Bottom