Pre GE2025 Baada ya kugawa pikipiki za Samia, inadaiwa pia kuna Helkopta na Magari 400 kwaajili ya Kampeni za mwakani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Maandalizi ya kampeni za mwakani yameisha kamilika upande wa Mama na kilichobakia ni kipenga kipulizwe tu.

Inadaiwa Pikipiki zaidi ya 18,000 ni zawadi kutoka UAE na pia kuna Helcopta moja na Magari 400.

Inadaiwa hawa ndio wanao miliki Loliondo na pia wanataka kupewa eneo la Poli la Longido ili waunganishe na Loliondo, kumbuka Longido imepakana na Loliondo hivyo Mwarabu anataka apewa pia Longido ambapo kuna baadhi ya Vijiji wananchi watahamishwa mapema baada ya uchaguzi Mkuu.

Pikipiki zimetangulia zisaidie uchaguzi wa Serikali za Mitaa, ila Magari na Helcopta inadaiwa ni kwa ajili ya mwakani, Helcopta italetwa mapema mwisho mwa mwaka huu au mapema mwakani ikiwa pia ni pamoja na Toyota Landcluser 400 ambazo pia zinaandaliwa na zitaanza kuingia mwisho wa mwaka huu na hizi ni special order kutoka kiwandani make zitakuja zikiwa na rangi ya kijani kutoka Japani na pia zinatakuwa na picha ya Raisi Samia.

Kampeni za mwakani huenda tukawa hatujawahi shujudia.




Pia soma: Lissu: Wasijifiche nyuma ya msikiti, waje hadharani tuyaseme matendo yao maovu
 
Dah, inawezekana ikawa kweli kabisa, kwani mambo yanakwenda kasi sana na kwa kushangaza kabisa. Ni kama mlevi wa pombe aliyekubuhu, huwa anafikiri watu hawaoni ushenzi anaofanya akiwa chakali, mpaka siku akidhalilishwa na mabaharia ndio ushtuka ikiwa too late.
 
Atumie helicopter uone kama uchaguzi hautasogezwa mbele,chama kukosa mgombea
 
Tangu aingie mpaka hapo atakuwa kanunua LC kama buku ivi
 
Huyu mama huyu!! Mpaka tutayakumbuka Maandiko matakatifu na habari za Wanawake kuangusha Mataifa duniani.

Tumekwisha
 
Nasikia wameuza kisiwa Cha mafia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…