stormryder
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 3,776
- 5,786
CCM ingekuwa imeamua kutumia hizi nguvu kwenye mambo ya maendeleo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata hayo pia ni maendeleo. Sema tu inategemea na vipaumbele.CCM ingekuwa imeamua kutumia hizi nguvu kwenye mambo ya maendeleo
Wale wamasai wanao hamishiwa Handeni toka Ngorongoro, walikuwa ni kielelezo sahihi cha tunakoelekea.Kampeni za mwakani huenda tukawa hatujawahi shujudia.
Huu ni mtindo mpya mkuu 'Tindo'. Badili mawani kidogo kama hayo uliyonayo kidogo yameanza kupata ukungu.Kwa uchaguzi gani, huo wa kupanga matokeo?
👏👏👏🤣Huu ni mtindo mpya mkuu 'Tindo'. Badili mawani kidogo kama hayo uliyonayo kidogo yameanza kupata ukungu.
Badala ya kuiba kura kwa nguvu, Samia anakuja na mtindo wa kuzinunua kura hizo, huku akitabasamu na kurembua macho!
Utafanya nini hapo. Hilo ndilo swali linalotaka jibu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wajomba wamedhamiria kumrudisha mpwa wao madarakani kwa hali na mali.
Lini mliwahi kusema uchaguzi n wa hakiKwa uchaguzi gani, huo wa kupanga matokeo?
Ukweli ni kwamba, huyu mama toka siku ya kwanza ofisini alianza mikakati ya ununuzi wa 'chawa'.Ukiona nguvu kubwa inatumika kusifia ujue shida ipo.
Endeleen kusema hvy tuu, nyie jifanyeni hamtaki kutoa kitu kwa wananchi, wapiga kura wenyw hawa vichwa maji bila kitu hakupi kuraUkiona nguvu kubwa inatumika kusifia ujue shida ipo.
Hizo pikipiki 18k ziko wap mkuu mbona mm nasikia 700 za Singida tuu au ratiba ya mikoa mingine haijatoka?Pikipiki moja ni 2500000 huyu Mama "Uza Uza" kaleta Pikipiki 18000 hizo fedha kazitoa wapi?!
Wewe tueleze uliuona wapi "uchaguzi wa haki."Lini mliwahi kusema uchaguzi n wa haki
Wapinzani wa Afrika ndio malalamiko yenu hayo, mm sijawahi kupiga kura kwahy mtapambana wnyw hukoWewe tueleze uliuona wapi "uchaguzi wa haki."
Hapana.Wajomba wamedhamiria kumrudisha mpwa wao madarakani kwa hali na mali.
Zambia, Malawi, na juzi tu Afrika Kusini, chaguzi zao umeziona?Wapinzani wa Afrika ndio malalamiko yenu hayo, mm sijawahi kupiga kura kwahy mtapambana wnyw huko
N nchi ngapi kati ya ngapi Afrika. Yn ishu ya upinzani kuchukua madaraka inakuwa habari njema sana kwenu wakati hamjajipanga kuchukua dolaZambia, Malawi, na juzi tu Afrika Kusini, chaguzi zao umeziona?
Kama si za kibiashara mbona zina plate namba nyeupe?Maandalizi ya kampeni za mwakani yameisha kamilika upande wa Mama na kilichobakia ni kipenga kipulizwe tu.
Inadaiwa Pikipiki zaidi ya 18,000 ni zawadi kutoka UAE na pia kuna Helcopta moja na Magari 400.
Inadaiwa hawa ndio wanao miliki Loliondo na pia wanataka kupewa eneo la Poli la Longido ili waunganishe na Loliondo, kumbuka Longido imepakana na Loliondo hivyo Mwarabu anataka apewa pia Longido ambapo kuna baadhi ya Vijiji wananchi watahamishwa mapema baada ya uchaguzi Mkuu.
Pikipiki zimetangulia zisaidie uchaguzi wa Serikali za Mitaa, ila Magari na Helcopta inadaiwa ni kwa ajili ya mwakani, Helcopta italetwa mapema mwisho mwa mwaka huu au mapema mwakani ikiwa pia ni pamoja na Toyota Landcluser 400 ambazo pia zinaandaliwa na zitaanza kuingia mwisho wa mwaka huu na hizi ni special order kutoka kiwandani make zitakuja zikiwa na rangi ya kijani kutoka Japani na pia zinatakuwa na picha ya Raisi Samia.
Kampeni za mwakani huenda tukawa hatujawahi shujudia.
View attachment 3013272
View attachment 3013277
Pia soma: Lissu: Wasijifiche nyuma ya msikiti, waje hadharani tuyaseme matendo yao maovu
Hauwezi kujipanga dhidi ya rushwa, siku zote rushwa itashinda.Daah! chadema wajipange kisawasawa kampen zikianza