Pre GE2025 Baada ya kugawa pikipiki za Samia, inadaiwa pia kuna Helkopta na Magari 400 kwaajili ya Kampeni za mwakani

Pre GE2025 Baada ya kugawa pikipiki za Samia, inadaiwa pia kuna Helkopta na Magari 400 kwaajili ya Kampeni za mwakani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwa uchaguzi gani, huo wa kupanga matokeo?
Huu ni mtindo mpya mkuu 'Tindo'. Badili mawani kidogo kama hayo uliyonayo kidogo yameanza kupata ukungu.

Badala ya kuiba kura kwa nguvu, Samia anakuja na mtindo wa kuzinunua kura hizo, huku akitabasamu na kurembua macho!
Utafanya nini hapo. Hilo ndilo swali linalotaka jibu.
 
Huu ni mtindo mpya mkuu 'Tindo'. Badili mawani kidogo kama hayo uliyonayo kidogo yameanza kupata ukungu.

Badala ya kuiba kura kwa nguvu, Samia anakuja na mtindo wa kuzinunua kura hizo, huku akitabasamu na kurembua macho!
Utafanya nini hapo. Hilo ndilo swali linalotaka jibu.
👏👏👏🤣
 
Ukiona nguvu kubwa inatumika kusifia ujue shida ipo.
Ukweli ni kwamba, huyu mama toka siku ya kwanza ofisini alianza mikakati ya ununuzi wa 'chawa'.
Kundi la kwanza kabisa alilotafuta kuliteka ni wasanii. Na hapo kampeni zitakapo anza utaona kazi zao wanazofanya wakiwa chini ya uajiri wa Samia. Watavuna sana pesa hawa.. Pesa siyo tatizo kwa samia, kwa sababu wajomba wapo.
 
Ukiona nguvu kubwa inatumika kusifia ujue shida ipo.
Endeleen kusema hvy tuu, nyie jifanyeni hamtaki kutoa kitu kwa wananchi, wapiga kura wenyw hawa vichwa maji bila kitu hakupi kura

Pikipiki moja ni 2500000 huyu Mama "Uza Uza" kaleta Pikipiki 18000 hizo fedha kazitoa wapi?!
Hizo pikipiki 18k ziko wap mkuu mbona mm nasikia 700 za Singida tuu au ratiba ya mikoa mingine haijatoka?
 
Wajomba wamedhamiria kumrudisha mpwa wao madarakani kwa hali na mali.
Hapana.

Sema wajomba "Wanawekeza" wakitarajia faida ya uwekezaji wao.
Hii ni nchi inayohitaji wawekezaji wa kila aina..., mama kishatufundisha.
 
Zambia, Malawi, na juzi tu Afrika Kusini, chaguzi zao umeziona?
N nchi ngapi kati ya ngapi Afrika. Yn ishu ya upinzani kuchukua madaraka inakuwa habari njema sana kwenu wakati hamjajipanga kuchukua dola
 
Maandalizi ya kampeni za mwakani yameisha kamilika upande wa Mama na kilichobakia ni kipenga kipulizwe tu.

Inadaiwa Pikipiki zaidi ya 18,000 ni zawadi kutoka UAE na pia kuna Helcopta moja na Magari 400.

Inadaiwa hawa ndio wanao miliki Loliondo na pia wanataka kupewa eneo la Poli la Longido ili waunganishe na Loliondo, kumbuka Longido imepakana na Loliondo hivyo Mwarabu anataka apewa pia Longido ambapo kuna baadhi ya Vijiji wananchi watahamishwa mapema baada ya uchaguzi Mkuu.

Pikipiki zimetangulia zisaidie uchaguzi wa Serikali za Mitaa, ila Magari na Helcopta inadaiwa ni kwa ajili ya mwakani, Helcopta italetwa mapema mwisho mwa mwaka huu au mapema mwakani ikiwa pia ni pamoja na Toyota Landcluser 400 ambazo pia zinaandaliwa na zitaanza kuingia mwisho wa mwaka huu na hizi ni special order kutoka kiwandani make zitakuja zikiwa na rangi ya kijani kutoka Japani na pia zinatakuwa na picha ya Raisi Samia.

Kampeni za mwakani huenda tukawa hatujawahi shujudia.

View attachment 3013272
View attachment 3013277

Pia soma: Lissu: Wasijifiche nyuma ya msikiti, waje hadharani tuyaseme matendo yao maovu
Kama si za kibiashara mbona zina plate namba nyeupe?
 
Back
Top Bottom