MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Carlinhos Avunja Ukimya Yanga SC
Kupitia ukurasa wake wa Mtandao wa Kijamii wa Instagram, Carlinhos hivi karibuni aliandika kwa kuanza kumshukuru Mungu lakini alienda mbali kwa kukiri kusumbuliwa na majeraha ya mfululizo kulimfanya ashindwe kutimiza majukumu yake ndani ya Yanga tangu amejiunga mwanzoni mwa msimu huu.“
Kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa kunibariki pamoja na familia yangu, ulikuwa mwaka mzuri kwangu, umeniathiri kwa majeraha ya mfululizo lakini bado nimekuwa na furaha katika mambo mengine.
“Naamini mwaka 2021 utakuwa mzuri na wenye mafanikio mengi kwa kuhakikisha kila mmoja anapigania malengo yake,” aliandika Carlinhos.
Taarifa: yangawhatsapp_makaomakuu
Sijui ni kwanini sijawa kabisa Mpenzi wa Soka la Bongo au kuwa Mshabiki wa Kuzipenda Yanga, Simba na Azam kwani zote naziona zina Usanii tu.
Kupitia ukurasa wake wa Mtandao wa Kijamii wa Instagram, Carlinhos hivi karibuni aliandika kwa kuanza kumshukuru Mungu lakini alienda mbali kwa kukiri kusumbuliwa na majeraha ya mfululizo kulimfanya ashindwe kutimiza majukumu yake ndani ya Yanga tangu amejiunga mwanzoni mwa msimu huu.“
Kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa kunibariki pamoja na familia yangu, ulikuwa mwaka mzuri kwangu, umeniathiri kwa majeraha ya mfululizo lakini bado nimekuwa na furaha katika mambo mengine.
“Naamini mwaka 2021 utakuwa mzuri na wenye mafanikio mengi kwa kuhakikisha kila mmoja anapigania malengo yake,” aliandika Carlinhos.
Taarifa: yangawhatsapp_makaomakuu
Sijui ni kwanini sijawa kabisa Mpenzi wa Soka la Bongo au kuwa Mshabiki wa Kuzipenda Yanga, Simba na Azam kwani zote naziona zina Usanii tu.