Baada ya kugundua ana mimba isiyo yangu, nipo katika wakati mgumu sana. Nishaurini

Wanaume wenzangu tujifunze njia za kidiplomasia kuwaacha hawa wanawake pasipo kuwaumizi kimwili maaana kumkatili kiasi hicho utakuja kupambana na mkono wa sheria. Unamwacha tuuu dhambi yake imtafune...
sure
 
Pole kiongozi,,

Ibada hapo ndo suluhisho,,
 
Pole sana Mkuu kama si kutumia kinga ungebambikiwa mimba labda ungegundua kwenye DNA au ungelea kama wako.
 
Muage mwambie maisha mema wanataka wapo wengi japo wiki za kwanza utaumia ila baada ya mwezi utakuwa sawa na maisha yatasonga
 
Mshukuru Mungu umejua ukweli ila ni kitu ambacho unaweza recover na kuendelea na maisha. Imagine ingekuwa kakupa gonjwa lenyewe, ni irreversible!
huyo achana nae, ila pia umejifunza kitu! Cheza kwa akili na tafuta mke kwa akili zaidi...
 
Kaka nimechoka, anayenicheka aje anicheke lakini yanaweza yakamkuta hata walio kwenye ndoa kuweni makini na wake zenu

Sio "yanaweza kuwakuta" yamewakuta wengi sana, wengi hawajui kuwa wanalea watoto wa wanaume wenzao.

Mbaya zaidi wake wao wanajua ila wanawacheck tu kwa dharau huku wakiwakamua kwa kuwalea watoto wa vidume wengine
 
Mkuu bado unamwita mpenzi!? Aisee.
Nikihisi tu umeacheat, huwa sisubiri maelezo, tunaachana hewani.
Cheating is a choice, not a mistake
sure kaka nimeumia sana
 
Muage mwambie maisha mema wanataka wapo wengi japo wiki za kwanza utaumia ila baada ya mwezi utakuwa sawa na maisha yatasonga
Asante sana kaka chozi linafutika familia yangu ya jf, mungu awalinde
 
Pole sana Mkuu kama si kutumia kinga ungebambikiwa mimba labda ungegundua kwenye DNA au ungelea kama wako.
Asante kaka nimenusurika
 
Reactions: BAK
Mkuu huo msala uliumalizaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…