Baada ya kugundua kuwa niko JF amani imetoweka

msiri wangu #1 cacico nakupendaje? hebu njoo umsome Catherine hapa lol! mi mbavu sina. bora mye na Kaizer wangu tunajuana tupo humu so hakuna kuflirt na mbadala.
ye mwenyewe anatoka na hubby wangu, kila cku wanatumiana mapm! namshanga kunisimanga na tulizo la moyo wangu humu Asprin, njoo basi na we ukaguliwe! mwaaaahhhh Catherine!
 
Last edited by a moderator:
kwanza he should b thankful kuwa unaflirt na Eiyer our virgin bro, hakugusi huyo, hang'ati awe na amani! hubby wangu ndio wa kuhurumia, maana naflirt na namba chafu ODM, kirua!
 
Last edited by a moderator:

hahahaha! Mwambie basi aniPM naona anachelewa. Lol. Mi staki kushare lakini, nataka wa peke yangu (sijui nitakuwa namtia kwenye handbag!)
 
Last edited by a moderator:
it would be so sad if one day JF is listed as one of the primary causes of marriage break-ups
 
Labda ulikutwa unajibu hoja kwenye picha za Kimbweka za mastaili yetu kwenye jukwaa lileeeeee......
 
kwanza he should b thankful kuwa unaflirt na Eiyer our virgin bro, hakugusi huyo, hang'ati awe na amani! hubby wangu ndio wa kuhurumia, maana naflirt na namba chafu ODM, kirua!

Haya waambieni cheichei!!!!
 
Last edited by a moderator:

kwa bahati mbaya, mke wangu siyo mtandawazi, hata simu yake anaona mzigo. Kila siku tunapigana mkwara, kwa kuwa naweza kuwa na shida namtafuta, yeye yuko busy na mambo ya jikoni, simu iko mbali sana mpaka nachukia. Nimeamua kumnunulia kijimfuko, ili simu uwe shingoni kila mara. Kwani tayari na kaka yake alianza kumlalamikia, kuwa tangu aulewe, hataki kupokea simu zao.

Natamani awe member, na nimepanga kumfundisha mpaka ajue
 

msiri wangu #1 cacico nakupendaje? hebu njoo umsome Catherine hapa lol! mi mbavu sina. bora mye na Kaizer wangu tunajuana tupo humu so hakuna kuflirt na mbadala.



ye mwenyewe anatoka na hubby wangu, kila cku wanatumiana mapm! namshanga kunisimanga na tulizo la moyo wangu humu Asprin, njoo basi na we ukaguliwe! mwaaaahhhh Catherine!

kwanza he should b thankful kuwa unaflirt na Eiyer our virgin bro, hakugusi huyo, hang'ati awe na amani! hubby wangu ndio wa kuhurumia, maana naflirt na namba chafu ODM, kirua!

Kwahiyo mmeconclude nini sasa?
 
Mumeo ndio wale wanaopenda wa TZ WANAFIKI WANAOWAPIGIA MAKOFI HATA WAKIWATUKANA.
Mwambie ajiunge na JF MUWE MNAPAMBANA KWA HOJA ZILIZOKOMAA BILA CHENGA
 
Mueleweshe unacho kifanya jf!
Alaf mmeo gamba lazima anajua kinacho endelea jf.
 
Kwahiyo mmeconclude nini sasa?

Kwamba, ni vizuri kuaminiana. Maisha ya MMU ni usanii na fantansy tu. Mkijuana ID inaweza saidia kumjua mwenzako vizuri kama atakuwa huru.

Na kuhusu giLESi; anahitaji a hard talk with his hubby, ikiwezekana ampe ID na password yake kama hamuamini.
 
Mwenzio alikuwa anataka chakula cha usiku wewe upo busy JF lazima achukie.
 
Huyo jamaa yako ni member wa jf na haujui. Yule uliyekuwa unamponda jukwaani ndiye jamaa yako ndio maana kachukia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…