Kwenye Tanzania,weka Tanganyika.International school tanzania
Kila nikiwa naenda ubalozi wa Brazil pale juu huwa ninayaangalia sana yale majengo, siku moja almanusura nipate ajali.Kwenye Tanzania,weka Tanganyika.
Hapo alisoma Babra wa Simba na Mohamed Dewji. Ada milioni 70.
Kisa nini tu, utumiaje mzuri wa mafuta au?Ni gari ambayo ukiingia show room unaweza kulia sasa hivi zinarange 17 to 21 Million ππ tofauti yake na vitz ya 12M ni nini ?π
Niliagiza cha kwangu 2019 direct from auction IST ya 2007 kitu mpaka leo ni mpya na engine utasema ni brand new na ilinicost 12.5M leo hii nikiangalia bei ipo 18M nasema hii kweli ni investmentNi gari ambayo ukiingia show room unaweza kulia sasa hivi zinarange 17 to 21 Million ππ tofauti yake na vitz ya 12M ni nini ?π
Babra kumbe nae ni wakishuaKwenye Tanzania,weka Tanganyika.
Hapo alisoma Babra wa Simba na Mohamed Dewji. Ada milioni 70.
Million 17 kwasababu demand ni kubwaNi gari ambayo ukiingia show room unaweza kulia sasa hivi zinarange 17 to 21 Million ππ tofauti yake na vitz ya 12M ni nini ?π