Baada ya kuimiliki rasmi nimejiuliza, ni nini kirefu cha IST

Baada ya kuimiliki rasmi nimejiuliza, ni nini kirefu cha IST

Wenye hivi vigari Huwa wananikera sana barabarani.yaani hawako tofauti tu na bodaboda.wakiona kiupenyo kidogo tu wanaovertake na kujichomeka.serikali inatakiwa kuvipiga marufuku hivi vigari maana vinatukera sana Huku barabarani
 
Wenye hivi vigari Huwa wananikera sana barabarani.yaani hawako tofauti tu na bodaboda.wakiona kiupenyo kidogo tu wanaovertake na kujichomeka.serikali inatakiwa kuvipiga marufuku hivi vigari maana vinatukera sana Huku barabarani
Vibadilishwe tu matumizi yake na vifanywe kua majiko ya kukaangia chipsi.
 
Hivi kwa nini saa yake haisemi ukweli hata nikiirekebisha tena na tena? Yaani nikishuka nikalock mlango. Nkirudi kinaonesha ni 12:00 hata kama ni saa tisa mchana
 
Kwenye Tanzania,weka Tanganyika.

Hapo alisoma Babra wa Simba na Mohamed Dewji. Ada milioni 70.
Screenshot_20241130-052745.png
 
Kubaabeki daycare tu milion 47?? Yan mtoto kucheza cheza na kupewa cerelac M47?? Mmmh levels to this shit kwakweli 🙌
 
Niliagiza cha kwangu 2019 direct from auction IST ya 2007 kitu mpaka leo ni mpya na engine utasema ni brand new na ilinicost 12.5M leo hii nikiangalia bei ipo 18M nasema hii kweli ni investment

Ingekuwa mimi ni muuzaji wa magari wale majamaa nilionunua kwao wangenitajirisha sana. Kwasababu nilikuwa naingia mtandaoni mwenyewe kwenye mnada wa magari halafu naongea na dealer wao anafanya bid

Yaani ingekuwa naagiza vitu vikali sana
Mtandao gani?
 
Hiki kigari kidogo cha joto kisichokuwa hata na airbag wala accident proof measures za msingi kama automatic turn signal na object detectors CHA AJABU huku nyuma kameandikwa IST na natamani sio kidogo wana jf wanipe kirefu chake kabla sijaenda kudanganywa na google ...
IST ina airbag bana, nitakupa picha ya IST iliyopata ajali
 
Back
Top Bottom