Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vibadilishwe tu matumizi yake na vifanywe kua majiko ya kukaangia chipsi.Wenye hivi vigari Huwa wananikera sana barabarani.yaani hawako tofauti tu na bodaboda.wakiona kiupenyo kidogo tu wanaovertake na kujichomeka.serikali inatakiwa kuvipiga marufuku hivi vigari maana vinatukera sana Huku barabarani
Siiyo inamankuswekeInama Sana Tukukojoze.
Hii ni staili aliyokuwa anaitumia Engonga yaani Baltasar.
Ama kwa hakika Baltasar Ebang Engonga ametufundisha staili mpya.
Duh!
Ndipo walipokutanaKwenye Tanzania,weka Tanganyika.
Hapo alisoma Babra wa Simba na Mohamed Dewji. Ada milioni 70.
Kwenye Tanzania,weka Tanganyika.
Hapo alisoma Babra wa Simba na Mohamed Dewji. Ada milioni 70.
Mtandao gani?Niliagiza cha kwangu 2019 direct from auction IST ya 2007 kitu mpaka leo ni mpya na engine utasema ni brand new na ilinicost 12.5M leo hii nikiangalia bei ipo 18M nasema hii kweli ni investment
Ingekuwa mimi ni muuzaji wa magari wale majamaa nilionunua kwao wangenitajirisha sana. Kwasababu nilikuwa naingia mtandaoni mwenyewe kwenye mnada wa magari halafu naongea na dealer wao anafanya bid
Yaani ingekuwa naagiza vitu vikali sana
IST ina airbag bana, nitakupa picha ya IST iliyopata ajaliHiki kigari kidogo cha joto kisichokuwa hata na airbag wala accident proof measures za msingi kama automatic turn signal na object detectors CHA AJABU huku nyuma kameandikwa IST na natamani sio kidogo wana jf wanipe kirefu chake kabla sijaenda kudanganywa na google ...