Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 16,003
Ndugu zangu,
Ni dhahiri sasa Chadema wamefikia hatua ya kujigeuza migambo. Wanataka kila wasemalo au watakalo lifanyike.
Wanajiona wao ndio wanastahili "attention" ya wananchi. Rais Samia anajitahidi kukutana na makundi muhimu katika jamii kama vile wazee, wakinamama, vijana, viongozi wa dini nk. Chadena wanataka wasikilizwe wao.
Kwenye baadhi ya nchi hapa barani Afrika kama vile Uganda, Somalia na Nigeria kuna vikundi vya migambo mwanzo vilijidai vyama vya siasa lakini baadae wakafikia malengo yao ya siasa za uasi.
Yaani Rais aache kufanya vipaumbele vyake ajikite kusikiliza kikundi chenye maslahi binafsi. Kwa kauli wanazotoa na vitisho mitandaoni na mikutanoni ni dhahiri sasa wamulikwe, wadhibitiwe mapema kabla hawajakomaa.
Siasa safi ni muhimu kwa mustakabali wa Taifa letu.
Ni dhahiri sasa Chadema wamefikia hatua ya kujigeuza migambo. Wanataka kila wasemalo au watakalo lifanyike.
Wanajiona wao ndio wanastahili "attention" ya wananchi. Rais Samia anajitahidi kukutana na makundi muhimu katika jamii kama vile wazee, wakinamama, vijana, viongozi wa dini nk. Chadena wanataka wasikilizwe wao.
Kwenye baadhi ya nchi hapa barani Afrika kama vile Uganda, Somalia na Nigeria kuna vikundi vya migambo mwanzo vilijidai vyama vya siasa lakini baadae wakafikia malengo yao ya siasa za uasi.
Yaani Rais aache kufanya vipaumbele vyake ajikite kusikiliza kikundi chenye maslahi binafsi. Kwa kauli wanazotoa na vitisho mitandaoni na mikutanoni ni dhahiri sasa wamulikwe, wadhibitiwe mapema kabla hawajakomaa.
Siasa safi ni muhimu kwa mustakabali wa Taifa letu.