Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Mkuu niunganishie kaka yako mmoja kama hao kaka zako wako tofauti na wewe


Hhahah!! Mkuu kwetu mimi pekee ndiye Mcheshi, Muelewa, Muungwana, Mkarimu, Ninayethamini mwanamke, Mwenye upendo na ninayejali maisha ya kila mtu.

Udhaifu wangu ni kuwa sio mvumilivu wa mambo ya kipuuzi, Nina misimamo ya kizamani kuhusu maadili, Sipendi nidharaulike na mali zangu ikiwa ni pamoja na Mke na watoto wangu wachezewe. Kwa hili nipo tayari kwa lolote lakini sio mtu aidharau familia yangu.
 
Hivi inakuaje mtu anakosa mume? Lakini hayanihusu..kila la kheri bidada
 
Mkuu niunganishie kaka yako mmoja kama hao kaka zako wako tofauti na wewe

Kama upo sirius njoo PM.
Ijapokuwa ulinipinga na kusema wewe ni Me. Khantwe dadaangu unamambo sana wewe. Basi hapo unaniona mimi bandidu. Hahahaa.

Wapo wanaonijua humu Waulize watakuambia mimi ni mtu waaje.
 
Hivi inakuaje mtu anakosa mume? Lakini hayanihusu..kila la kheri bidada

Mkuu inawezekana sana tuu.
Unajua Mwanamke asipojitambua ni hatari sana. Mwanamke lazima ajijue yeye ni mwanamke. Mwanamke lazima ajue suala la kukimbizana na muda. Kama mwanamke hajui jambo hili haya ndio matokeo yake.

Mtu unafikisha miaka 18-23 unaona wanaume mbalimbali wanakufuata wewe unajichekesha na kuvimba badala ya kuchukua chako mapema ili uwavimbie wanaume wengine ukiwa tayari umepata mume.

Matokeo yake unafika miaka 27+ ndio unahisi ati ni muda wa kuolewa wakati umri huo unapaswa uwe ndani ya ndoa karibu miaka mitanne mpaka mitano. Ulipaswa uwe na watoto.

27+ Huo ni umri wa Kijana wa kiume kuoa tena anaoa binti mwenye 18-25.
 
Mkuu inawezekana sana tuu.
Unajua Mwanamke asipojitambua ni hatari sana. Mwanamke lazima ajijue yeye ni mwanamke. Mwanamke lazima ajue suala la kukimbizana na muda. Kama mwanamke hajui jambo hili haya ndio matokeo yake.

Mtu unafikisha miaka 18-23 unaona wanaume mbalimbali wanakufuata wewe unajichekesha na kuvimba badala ya kuchukua chako mapema ili uwavimbie wanaume wengine ukiwa tayari umepata mume.

Matokeo yake unafika miaka 27+ ndio unahisi ati ni muda wa kuolewa wakati umri huo unapaswa uwe ndani ya ndoa karibu miaka mitanne mpaka mitano. Ulipaswa uwe na watoto.

27+ Huo ni umri wa Kijana wa kiume kuoa tena anaoa binti mwenye 18-25.
Kiukweli sijawahi kuwa single, pia sijawahi kukosa mtu mwenye nia ya kunioa, yaani na uzee huu nikiachika najua kabisa nikitaka mume sikosi.
Siamini sana kwenye kutafuta mume mtandaoni, ni Bora upate marafiki wa mtandaoni then unaweza pata Kati ya hao.

Kama unapata marafiki mtandaoni iweje utangaze unatafuta mume/mke? Chagua Kati ya hao marafiki
 
Kiukweli sijawahi kuwa single, pia sijawahi kukosa mtu mwenye nia ya kunioa, yaani na uzee huu nikiachika najua kabisa nikitaka mume sikosi.
Siamini sana kwenye kutafuta mume mtandaoni, ni Bora upate marafiki wa mtandaoni then unaweza pata Kati ya hao.

Kama unapata marafiki mtandaoni iweje utangaze unatafuta mume/mke? Chagua Kati ya hao marafiki

Upo sahihi. Ukishaweka urafiki sio rahisi mwanaume kupindua suala la ndoa.

Ndio maana ndoa nyingi zinazovunjika ni zile Mwanaume anarafiki wa kike nje hasa ofisini. Urafiki wao unawaleta pamoja na kila mmoja anakuwa huru na mwenzake na kufahamiana. Mwisho mwanaume/Mwanamke kama anateswa nyumbani anajikuta anaanza kufall in love.
Hatimaye ndoa inavunjika. Mwingine anaingia ndani mwingine anatoka ndoani.

Pia ukishakuwa na rafiki wa kiume ni rahisi kumueleza hitaji la maisha lako kama ndoa na akakuelewa au akakusaidia namna ya kuingia ndoani. Shida Wanawake wanajifanya hawana shida ya ndoa kumbe wanashida. Sitaki nataka.
 
Nipm nikupe namba za Kaka yangu ..anataka kuoa

Ana mihela
Umri sawa na ulivyotaja hapo
anajiamini haswa
Husband material

Anagubu hatari..Kama utaweza vumulia nikupe namba zake
 
Makalio kawaida.ndo makalio gani?
Habari zenu wandugu Bado sijapata mume Wala mchumba yote ni kwasababu masiara mengi humu jf

Natoa nafasi nyingine kwa mwaka huu

Mwanaume anae hisi anahitaji mke

Sifa zake

Awe mwanaume haswa sio mwanaume asie jiamini
Dini mkristo
Umri miaka 29-40
Awe na nguvu za kufanya tendo la ndoa maaana. Mimi napenda Sana tendo la ndoa kupitiliza
Maji ya kunde au weusi wa kawaida usizidi
Mchapa kazi na anae penda mjasiliamali
Sitaki mwanaume mwenye tabia za kike maneno mengi Kama mtunzi wa stori
Mwenye mashauzi ya kujisikia sitaki pia
Awe na utu kwa wenzake
Asiwe mrefu Wala mfupi

Tabia zingine tuta zishepu

Sifa zangu
Binti mpole na mwenye msimamo thabiti,tofauti na hapo ni mwepesi kuchukia na mtu wa haraka kusameehe

Sio mwembamba Wala mnene nipo Kati na nyama kiasi
Makalio ya kawaida
Rangi mweusi
Napenda kupika na kufanya kazi zingine za nyumbani
Mcheshi ila sipendi kuonewa kupitiliza
Umri 28
Elimu kidato Cha nne
Sina kazi yoyote ila uwa nafanya vibarua vya hapa na pale Kama kubebea maji mafundi kufua nguo za watu na kusafisha ofisi za watu

Mengine tutazungumza

Kama hujapendezwa soma pita tu.

Pm wazi Ila sitaki maswali Kama tupo maahakamani .

Ni pm jieleze sifa zako weka na mawasiliano ntakutafuta nikiona nimesukumwa nikutafuta

Kwa mtu mwenye masiara mie ndo fundi
 
Habari zenu wandugu Bado sijapata mume Wala mchumba yote ni kwasababu masiara mengi humu jf

Natoa nafasi nyingine kwa mwaka huu

Mwanaume anae hisi anahitaji mke

Sifa zake

Awe mwanaume haswa sio mwanaume asie jiamini
Dini mkristo
Umri miaka 29-40
Awe na nguvu za kufanya tendo la ndoa maaana. Mimi napenda Sana tendo la ndoa kupitiliza
Maji ya kunde au weusi wa kawaida usizidi
Mchapa kazi na anae penda mjasiliamali
Sitaki mwanaume mwenye tabia za kike maneno mengi Kama mtunzi wa stori
Mwenye mashauzi ya kujisikia sitaki pia
Awe na utu kwa wenzake
Asiwe mrefu Wala mfupi

Tabia zingine tuta zishepu

Sifa zangu
Binti mpole na mwenye msimamo thabiti,tofauti na hapo ni mwepesi kuchukia na mtu wa haraka kusameehe

Sio mwembamba Wala mnene nipo Kati na nyama kiasi
Makalio ya kawaida
Rangi mweusi
Napenda kupika na kufanya kazi zingine za nyumbani
Mcheshi ila sipendi kuonewa kupitiliza
Umri 28
Elimu kidato Cha nne
Sina kazi yoyote ila uwa nafanya vibarua vya hapa na pale Kama kubebea maji mafundi kufua nguo za watu na kusafisha ofisi za watu

Mengine tutazungumza

Kama hujapendezwa soma pita tu.

Pm wazi Ila sitaki maswali Kama tupo maahakamani .

Ni pm jieleze sifa zako weka na mawasiliano ntakutafuta nikiona nimesukumwa nikutafuta

Kwa mtu mwenye masiara mie ndo fundi
Kwa masharti haya bado una safari ndefu kumpata mwanaume mwenye sifa zote hizo.Hata hivyo ninakutakia kila la heri.
 
Habari zenu wandugu Bado sijapata mume Wala mchumba yote ni kwasababu masiara mengi humu jf

Natoa nafasi nyingine kwa mwaka huu

Mwanaume anae hisi anahitaji mke

Sifa zake

Awe mwanaume haswa sio mwanaume asie jiamini
Dini mkristo
Umri miaka 29-40
Awe na nguvu za kufanya tendo la ndoa maaana. Mimi napenda Sana tendo la ndoa kupitiliza
Maji ya kunde au weusi wa kawaida usizidi
Mchapa kazi na anae penda mjasiliamali
Sitaki mwanaume mwenye tabia za kike maneno mengi Kama mtunzi wa stori
Mwenye mashauzi ya kujisikia sitaki pia
Awe na utu kwa wenzake
Asiwe mrefu Wala mfupi

Tabia zingine tuta zishepu

Sifa zangu
Binti mpole na mwenye msimamo thabiti,tofauti na hapo ni mwepesi kuchukia na mtu wa haraka kusameehe

Sio mwembamba Wala mnene nipo Kati na nyama kiasi
Makalio ya kawaida
Rangi mweusi
Napenda kupika na kufanya kazi zingine za nyumbani
Mcheshi ila sipendi kuonewa kupitiliza
Umri 28
Elimu kidato Cha nne
Sina kazi yoyote ila uwa nafanya vibarua vya hapa na pale Kama kubebea maji mafundi kufua nguo za watu na kusafisha ofisi za watu

Mengine tutazungumza

Kama hujapendezwa soma pita tu.

Pm wazi Ila sitaki maswali Kama tupo maahakamani .

Ni pm jieleze sifa zako weka na mawasiliano ntakutafuta nikiona nimesukumwa nikutafuta

Kwa mtu mwenye masiara mie ndo fundi
 
Wanaume wenzangu nawaambieni na nawaomba mnisikilize.
Huyu kihuba yawezekana kabisa hatafuti mchumba wala nini bali ana mission yake anaifanya kwa stayle ya kutafuta mchumba.

Kwa nini nasema hivi?
Huyu mtu ana thread nyingi sana za kutafuta mchumba, tangu mwaka jana au mwaka juzi anatafutaga tu mchumba?

Simkatazi yeyote kumuamini kihuba ila muamini at your own risk.

Maxence Melo
 
Back
Top Bottom