Mkuu niunganishie kaka yako mmoja kama hao kaka zako wako tofauti na wewe
Mkuu niunganishie kaka yako mmoja kama hao kaka zako wako tofauti na wewe
Hivi inakuaje mtu anakosa mume? Lakini hayanihusu..kila la kheri bidada
Kiukweli sijawahi kuwa single, pia sijawahi kukosa mtu mwenye nia ya kunioa, yaani na uzee huu nikiachika najua kabisa nikitaka mume sikosi.Mkuu inawezekana sana tuu.
Unajua Mwanamke asipojitambua ni hatari sana. Mwanamke lazima ajijue yeye ni mwanamke. Mwanamke lazima ajue suala la kukimbizana na muda. Kama mwanamke hajui jambo hili haya ndio matokeo yake.
Mtu unafikisha miaka 18-23 unaona wanaume mbalimbali wanakufuata wewe unajichekesha na kuvimba badala ya kuchukua chako mapema ili uwavimbie wanaume wengine ukiwa tayari umepata mume.
Matokeo yake unafika miaka 27+ ndio unahisi ati ni muda wa kuolewa wakati umri huo unapaswa uwe ndani ya ndoa karibu miaka mitanne mpaka mitano. Ulipaswa uwe na watoto.
27+ Huo ni umri wa Kijana wa kiume kuoa tena anaoa binti mwenye 18-25.
Kiukweli sijawahi kuwa single, pia sijawahi kukosa mtu mwenye nia ya kunioa, yaani na uzee huu nikiachika najua kabisa nikitaka mume sikosi.
Siamini sana kwenye kutafuta mume mtandaoni, ni Bora upate marafiki wa mtandaoni then unaweza pata Kati ya hao.
Kama unapata marafiki mtandaoni iweje utangaze unatafuta mume/mke? Chagua Kati ya hao marafiki
HahaaaaaHapo kwenye "makalio ya kawaida"nimekulewa sana kwamba sio chogo[emoji2][emoji2]
Habari zenu wandugu Bado sijapata mume Wala mchumba yote ni kwasababu masiara mengi humu jf
Natoa nafasi nyingine kwa mwaka huu
Mwanaume anae hisi anahitaji mke
Sifa zake
Awe mwanaume haswa sio mwanaume asie jiamini
Dini mkristo
Umri miaka 29-40
Awe na nguvu za kufanya tendo la ndoa maaana. Mimi napenda Sana tendo la ndoa kupitiliza
Maji ya kunde au weusi wa kawaida usizidi
Mchapa kazi na anae penda mjasiliamali
Sitaki mwanaume mwenye tabia za kike maneno mengi Kama mtunzi wa stori
Mwenye mashauzi ya kujisikia sitaki pia
Awe na utu kwa wenzake
Asiwe mrefu Wala mfupi
Tabia zingine tuta zishepu
Sifa zangu
Binti mpole na mwenye msimamo thabiti,tofauti na hapo ni mwepesi kuchukia na mtu wa haraka kusameehe
Sio mwembamba Wala mnene nipo Kati na nyama kiasi
Makalio ya kawaida
Rangi mweusi
Napenda kupika na kufanya kazi zingine za nyumbani
Mcheshi ila sipendi kuonewa kupitiliza
Umri 28
Elimu kidato Cha nne
Sina kazi yoyote ila uwa nafanya vibarua vya hapa na pale Kama kubebea maji mafundi kufua nguo za watu na kusafisha ofisi za watu
Mengine tutazungumza
Kama hujapendezwa soma pita tu.
Pm wazi Ila sitaki maswali Kama tupo maahakamani .
Ni pm jieleze sifa zako weka na mawasiliano ntakutafuta nikiona nimesukumwa nikutafuta
Kwa mtu mwenye masiara mie ndo fundi
Kwa masharti haya bado una safari ndefu kumpata mwanaume mwenye sifa zote hizo.Hata hivyo ninakutakia kila la heri.Habari zenu wandugu Bado sijapata mume Wala mchumba yote ni kwasababu masiara mengi humu jf
Natoa nafasi nyingine kwa mwaka huu
Mwanaume anae hisi anahitaji mke
Sifa zake
Awe mwanaume haswa sio mwanaume asie jiamini
Dini mkristo
Umri miaka 29-40
Awe na nguvu za kufanya tendo la ndoa maaana. Mimi napenda Sana tendo la ndoa kupitiliza
Maji ya kunde au weusi wa kawaida usizidi
Mchapa kazi na anae penda mjasiliamali
Sitaki mwanaume mwenye tabia za kike maneno mengi Kama mtunzi wa stori
Mwenye mashauzi ya kujisikia sitaki pia
Awe na utu kwa wenzake
Asiwe mrefu Wala mfupi
Tabia zingine tuta zishepu
Sifa zangu
Binti mpole na mwenye msimamo thabiti,tofauti na hapo ni mwepesi kuchukia na mtu wa haraka kusameehe
Sio mwembamba Wala mnene nipo Kati na nyama kiasi
Makalio ya kawaida
Rangi mweusi
Napenda kupika na kufanya kazi zingine za nyumbani
Mcheshi ila sipendi kuonewa kupitiliza
Umri 28
Elimu kidato Cha nne
Sina kazi yoyote ila uwa nafanya vibarua vya hapa na pale Kama kubebea maji mafundi kufua nguo za watu na kusafisha ofisi za watu
Mengine tutazungumza
Kama hujapendezwa soma pita tu.
Pm wazi Ila sitaki maswali Kama tupo maahakamani .
Ni pm jieleze sifa zako weka na mawasiliano ntakutafuta nikiona nimesukumwa nikutafuta
Kwa mtu mwenye masiara mie ndo fundi
HTML,maquee,
Java script
Ndo utajimaliza pia