poleeeeeeeeembona wanaotafta waume wengi wao dini wakristo???....guys what is not hapening there???...nimeliwah tangazo nakuta dini mkristo....
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujasahu kuandika na kuwa hujawahi kufanya mapenzi?Habari zenu wanachama wa JF,
Natafuta mwanaume ambae Mungu akitujalia awe mwana ndoa wangu, umri kuanzia miaka 27 kuendelea, awe na kazi yoyote inayo weza kumuingizia kipato kujituma maji ya kunde urefu futi 5, Mkiristo awe na mapenzi ya dhati.
Kwa upande wangu sijawahi zaa, sijawahi olewa, mcheshi na mwenye msimamo thabiti mengine kuhusu mimi pm.
Tafadhari kama ujumbe huta upenda usinitafute pm
Karibuni mliovutiwa na ujumbe wangu
Mungu awabariki sana
Bado sijafunga maombi pm mkujeee
kuna magugu tuBado shamba halijalimwa?
Au walishalima wakalitekeza?
Unatafuta na mwenye kazi wewe una kazi gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
umeonaeeeeeeeeeHizo zote ni mbwembwe tu, hebu tupia kapicha kako tukuone kama unalingana na hizi sifa ulizotaja
Sent using Jamii Forums mobile app
Ningependa kujua umri na Kazi yakoHabari zenu wanachama wa JF,
Natafuta mwanaume ambae Mungu akitujalia awe mwana ndoa wangu, umri kuanzia miaka 27 kuendelea, awe na kazi yoyote inayo weza kumuingizia kipato kujituma maji ya kunde urefu futi 5, Mkiristo awe na mapenzi ya dhati.
Kwa upande wangu sijawahi zaa, sijawahi olewa, mcheshi na mwenye msimamo thabiti mengine kuhusu mimi pm.
Tafadhari kama ujumbe huta upenda usinitafute pm
Karibuni mliovutiwa na ujumbe wangu
Mungu awabariki sana
Bado sijafunga maombi pm mkujeee
Wewe kazi unayo hahahah..! Nani ageuzwe MPESA..[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Habari zenu wanachama wa JF,
Natafuta mwanaume ambae Mungu akitujalia awe mwana ndoa wangu, umri kuanzia miaka 27 kuendelea, awe na kazi yoyote inayo weza kumuingizia kipato kujituma maji ya kunde urefu futi 5, Mkiristo awe na mapenzi ya dhati.
Kwa upande wangu sijawahi zaa, sijawahi olewa, mcheshi na mwenye msimamo thabiti mengine kuhusu mimi pm.
Tafadhari kama ujumbe huta upenda usinitafute pm
Karibuni mliovutiwa na ujumbe wangu
Mungu awabariki sana
Bado sijafunga maombi pm mkujeee
sawaHivi hawa mabinti was kiislamu mbona hamna hata mmoja anayetafuta mchumba..Tunawasubiri mjue
Sent using Jamii Forums mobile app
Majukumu nimekuzaa???unakimbia majukumuuu
Embu nistue PM tuyajengeHabari zenu wanachama wa JF,
Natafuta mwanaume ambae Mungu akitujalia awe mwana ndoa wangu, umri kuanzia miaka 27 kuendelea, awe na kazi yoyote inayo weza kumuingizia kipato kujituma maji ya kunde urefu futi 5, Mkiristo awe na mapenzi ya dhati.
Kwa upande wangu sijawahi zaa, sijawahi olewa, mcheshi na mwenye msimamo thabiti mengine kuhusu mimi pm.
Tafadhari kama ujumbe huta upenda usinitafute pm
Karibuni mliovutiwa na ujumbe wangu
Mungu awabariki sana
Bado sijafunga maombi pm mkujeee
Njoo PM nipo mie sifa zote ninazoHabari zenu wanachama wa JF,
Natafuta mwanaume ambae Mungu akitujalia awe mwana ndoa wangu, umri kuanzia miaka 27 kuendelea, awe na kazi yoyote inayo weza kumuingizia kipato kujituma maji ya kunde urefu futi 5, Mkiristo awe na mapenzi ya dhati.
Kwa upande wangu sijawahi zaa, sijawahi olewa, mcheshi na mwenye msimamo thabiti mengine kuhusu mimi pm.
Tafadhari kama ujumbe huta upenda usinitafute pm
Karibuni mliovutiwa na ujumbe wangu
Mungu awabariki sana
Bado sijafunga maombi pm mkujeee