Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haswaaaaaaaaaaaaa[/QUOTE
Haya wanakuja wa mikorogo.....uso mirinda mikono pepsi.....
Tulishindwana mkuu,alikuwa yuko juu sana.Mzee vipi mlishindwana au mliwezana?
Poa poa, mimi alinirekebishia kwa haraka saana.Tulishindwana mkuu,alikuwa yuko juu sana.
KweliHabari zenu wanachama wa JF,
Natafuta mwanaume ambae Mungu akitujalia awe mwana ndoa wangu, umri kuanzia miaka 27 kuendelea, awe na kazi yoyote inayo weza kumuingizia kipato kujituma maji ya kunde urefu futi 5, Mkiristo awe na mapenzi ya dhati.
Kwa upande wangu sijawahi zaa, sijawahi olewa, mcheshi na mwenye msimamo thabiti mengine kuhusu mimi pm.
Tafadhari kama ujumbe huta upenda usinitafute pm
Karibuni mliovutiwa na ujumbe wangu
Mungu awabariki sana
Huhuhuuuu![emoji3][emoji3]
Huyu mdogo wangu nitambemenda
[emoji123][emoji123][emoji123] hivyo vidole nitavikata ushindwe kutypeHuhuhuuuu!