Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niwekee picha yako pm bibiekweli
Daby anatafuta mke??[emoji1] [emoji1]Daby ukuje.
asanteHongera Sana kwa kutangaza niaa
Ila kwny urefu Ft 5 umenikosa labda upuunguzee kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee vipi mlishindwana au mliwezana?Daby anatafuta mke??[emoji1] [emoji1]
Mambo vp nimeona ujumbe wako niko tayari kuwa mpnz wako na hatimaye kuwa mumeo wa ndoaHabari zenu wanachama wa JF,
Natafuta mwanaume ambae Mungu akitujalia awe mwana ndoa wangu, umri kuanzia miaka 27 kuendelea, awe na kazi yoyote inayo weza kumuingizia kipato kujituma maji ya kunde urefu futi 5, Mkiristo awe na mapenzi ya dhati.
Kwa upande wangu sijawahi zaa, sijawahi olewa, mcheshi na mwenye msimamo thabiti mengine kuhusu mimi pm.
Tafadhari kama ujumbe huta upenda usinitafute pm
Karibuni mliovutiwa na ujumbe wangu
Mungu awabariki sana
Na kweli umekuja.Chezeya Daby wewe[emoji3][emoji3]
Huyu mdogo wangu nitambemenda
Mfate Pm basi.Usimwage mtama na Mchele kwenye kuku wengii[emoji3] [emoji3]Mambo vp nimeona ujumbe wako niko tayari kuwa mpnz wako na hatimaye kuwa mumeo wa ndoa
Sent using Jamii Forums mobile app
Imebidi nije nichungulie...
Umchungulie VP?? Nenda Pm weweImebidi nije nichungulie...
Nimtakie kila lililo la kheri
Haha [emoji119][emoji119][emoji106][emoji106]