Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
una watoto wangapi?Habari zenu wanachama wa jf Natafuta mwanaume ambae mungu akitujaria awe mwana ndoa wangu umri kuanzia miaka 27 kuendelea,Awe na kazi yoyote inayo weza kumuingizia kipato kujituma maji ya kunde urefu futi 5,Mkiristo awe na mapezi ya dhati
Kwa upande wangu sijawai zaa,sijawai olewa, mcheshi na mwenye msimamo thabiti mengine kuhusu mimi pm.
Tafadhari kama ujumbe huta upenda usinitafute pm
Karibuni mlio vutiwa na ujube wangu
Mungu awabariki sana
Utadhani alipoandika alikuwa kazipiga mbili tatu maana hiyo lugha humo yote haijanyooka,mchuba ndo kitu gani? anyway kama kuna mtu anaitwa mchuba humu utampata
[emoji16][emoji16][emoji16]mchuba ndo kitu gani? anyway kama kuna mtu anaitwa mchuba humu utampata