Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
id mpya,,hao sio new membersNEW MEMBER wanaongoza kwa kutafuta wachumba asee.Kwanini wasitafute huko insta na fb ambako kuna pichq kabisa???
we naweAnachekesha huyu inamaana hataakiolewa mumewe akipata gari akaendesha ndoa inavunjwa maana vigezo vimeondoka kutotaka Dereva na ikitokea akafundishwa mapenzi ndoa hakuna maana mume keshakuwa mwalimu huyo[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
namuona ameanza kupanicJoseverest hao wanaotafuta wachumba hata siyo new member. Ni senior/expert member ila wanachofanya ni kutengeneza ID mpya kwa kaz hyo hyo moja kama 'kujihami' wanaogopa kuzodolewa.
utakuja kuelewa, wewe si unajifanya mgeni?? Tulia muda ni mwalimu mzurikuhusu
amefunga PM??[emoji15][emoji15]
Daaa nna kila sifa ila ww hjasema sifa zako n zip dadaHabari zenu wanachama wa jf Natafuta mwanaume ambae mungu akitujaria awe mwana ndoa wangu umri kuanzia miaka 27 kuendelea,Awe na kazi yoyote anapenda kujituma maji ya kunde urefu futi 5,Mkiristo awe na mapezi ya dhati
Kwa upande wangu sijawai zaa,sijawai olewa, mcheshi na mwenye msimamo thabiti mengine kuhusu mimi pm.
Tafadhari kama ujumbe huta upenda usinitafute pm
NB:Naitaji mwanaume maji ya kunde asiwe mweupe wala mweusi lizingatiwe wapendwa