Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sawa
Mkuu nijibu. Maana naanza kuliona limoyo langu linavyoweweseka kupata mwenza wa maisha.La mujer de mi vida!
Mimi huwa sizidishi dhambi zaidi ya kuchukua za "brashi" tu!Hataki kushiriki zambi ya rushwa mkuu
Mkuu kweli apatikani PMPoa asee kila la heri bibie...
umejiunga jana umeshajua mambo ya PM...aseeh
Wanyakyusa hapa hapatufai!
Rangi yetu nyeusi, Na mimi Ni mweusi hasa
Anachekesha huyu inamaana hataakiolewa mumewe akipata gari akaendesha ndoa inavunjwa maana vigezo vimeondoka kutotaka Dereva na ikitokea akafundishwa mapenzi ndoa hakuna maana mume keshakuwa mwalimu huyo[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Poa asee kila la heri bibie...
umejiunga jana umeshajua mambo ya PM...aseeh
Aisee, baadae anakuja kulalamikaAnachekesha huyu inamaana hataakiolewa mumewe akipata gari akaendesha ndoa inavunjwa maana vigezo vimeondoka kutotaka Dereva na ikitokea akafundishwa mapenzi ndoa hakuna maana mume keshakuwa mwalimu huyo[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]