PowerWithin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2014
- 646
- 501
Una msambwanda ? Just in case!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari zenu wanachama wa jf Natafuta mwanaume ambae mungu akitujaria awe mwana ndoa wangu umri kuanzia miaka 27 kuendelea,Awe na kazi yoyote isipokua Dereva,Mwalimu,Police awe anapenda kujituma maji ya kunde urefu futi 5,Mkiristo awe na mapezi ya dhati
Kwa upande wangu sijawai zaa,sijawai olewa, mcheshi na mwenye msimamo thabiti mengine kuhusu mimi pm.
Tafadhari kama ujumbe huta upenda usinitafute pm
NB:Naitaji mwanaume maji ya kunde asiwe mweupe wala mweusi lizingatiwe wapendwa
Sawa.sijawatenga
Hee ushaanza wivu mapema hivyo[emoji102] kasema anahitaji wenye kazi sio wanafunzi
Rubiikimimi[emoji85]
[emoji57] [emoji57] [emoji57]Hee ushaanza wivu mapema hivyo
Haya nimeghairi mama watoto mimi nipo na wewe tu .
Halafu nimekimiss cha mnato
baadaye unikumbushe halafu ile ishu kabla sijasahau[emoji57] [emoji57] [emoji57]
Rubiikimimi[emoji85]
Wewe umejuaje kama ni new member? Kwani kuna limitations za umiliki wa account zaid ya moja jf?NEW MEMBER wanaongoza kwa kutafuta wachumba asee.Kwanini wasitafute huko insta na fb ambako kuna pichq kabisa???
[emoji102] itakua umechanganya filebaadaye unikumbushe halafu ile ishu kabla sijasahau
kweli?[emoji102] itakua umechanganya file
Sina ishu nawewe yoyote
Rubiikimimi[emoji85]
kweli?
Tuliongea nn juzi?