mh Natoa
Member
- Aug 3, 2017
- 28
- 11
Harak ya nn ukitaka kupat mchumb cmple tu ww andka PM subir baad ya masaa 10000000000000000000000 anakuja mwenyew
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengine matapeli tu kama yule anayejiita LONALOVEID maalumu kwa ajili ya kutafuta mchumba,
yaani since Saturday
Wengine matapeli tu kama yule anayejiita LONALOVEID maalumu kwa ajili ya kutafuta mchumba,
yaani since Saturday
sawaHarak ya nn ukitaka kupat mchumb cmple tu ww andka PM subir baad ya masaa 10000000000000000000000 anakuja mwenyew
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndoa sio mchezo are you ready mentally? Niliskia mhenga ndoa hupangwa kwa mungu unasali saaana? Good luck and good luckHabari zenu wanachama wa JF,
Natafuta mwanaume ambae Mungu akitujalia awe mwana ndoa wangu, umri kuanzia miaka 27 kuendelea, awe na kazi yoyote inayo weza kumuingizia kipato kujituma maji ya kunde urefu futi 5, Mkiristo awe na mapenzi ya dhati.
Kwa upande wangu sijawahi zaa, sijawahi olewa, mcheshi na mwenye msimamo thabiti mengine kuhusu mimi pm.
Tafadhari kama ujumbe huta upenda usinitafute pm
Karibuni mliovutiwa na ujumbe wangu
Mungu awabariki sana
kweliMnaotafuta wenza funzo...
Humu kuna namna intudrug emotionally automatically kwa sababu ya kwanza avatar halafu anae post unakuta anafanana kabisa na avatar...mfano Mimi nampenda sana shunie ...avatar yake na post zake zinashabihiana kwa hiyo hata siku nikimuona asilimia nyingi Fulani zinasadifu alivyo...mnaoandika kutafuta kwanza neno mume au mke hamli deserve ...mtu anaandika sitaki vibamia...awe na kazi...umri miaka...kama huwezi pita mbele...mtagegedwa sana humuhumu
Sent using Jamii Forums mobile app