halloperidon
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 2,096
- 5,254
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sifa zote ninazo tena nimweupe sana .sasa hapo kwenye kuzalisha sijawai zalisha namaanisha sina mtoto nitajuaje kama nazalisha ???au nije tu tutajaribu kama nazalisha.Moja awe mwanaume mwenye mvuto, mweupe ikiwezekana shombe kabisa ulefu futii 5
Baada ya hapo mahusiano yafe.
mtoto ntamlea mwenyewe.
Sitaki kufatiliana kwa lolote
Mwenye sifa hizo ani pm haraka ntajibu sms 20 tu za mwanzo sitaki blabla nyingi na maswali mengi pm
Kama unazalisha njoo pm sema nazalisha tuma picha na namba yako ntakutafuta mimi nikivutiwa na picha yako
Narudia sitaki maneno mengi pm
sms ya kwanza andika nazalisha
ya pili tuma picha
ya tatu namba yako ntachagua mimi wa kuzaa nae
PM IPO WAZI
mashariti na vigezo vinazingatiwa soma hatua fataSifa zote ninazo tena nimweupe sana .sasa hapo kwenye kuzalisha sijawai zalisha namaanisha sina mtoto nitajuaje kama nazalisha ???au nine tu tutajaribu kama nazalisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimesoma nimeelewa ndo maana nasema nagegeda vizuri kabisa ila sina mtoto ..sasa najuaje kama nazalisha ???mashariti na vigezo vinazingatiwa soma hatua fata
Na wewe mwenyewe upoje kwanza, unavutia?haswa
ujafata vigezo nadhani na masharitiiiMama , nishakufata pm kama kwel unahitaj mzalisho la kama ni kiki tu bas hutopata
Sent using Jamii Forums mobile app