Weweeee....acha kabisa kumtia hyo maneno mwenzio,Dada jikubali kuwa bila mwanaume unaweza achana nao hao kuwa single sio zambi mbona wenzako tupo single nishasahau kama kuna wanaume duniani
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] najua wajua niloongea ni pointWeweeee....acha kabisa kumtia hyo maneno mwenzio,
Huu ndio ushauri ss, safi kabisa.Wewe ni mwanamke mzuri tu pia unathamani kubwa sana achana Na wanaume wamitandao nikushauri tafuta Kazi Fanya au biashara tafuta pesa watakufwata wenyewe tena wewe utakuwa nakazi yakuchagua saka life dear Mungu atakupa maana bible neno LA mungu linasema kila mwanadamu Mungu kamuumbia mwenzake wakuishi nae
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji120] [emoji120] [emoji120] aya babaHuu ndio ushauri ss, safi kabisa.
Sure, she must be cautious...You are too desperate, as of this week you have like 4/5 threads crying for the same thing.
Am worried opportunists will take advantage of this, be careful.
siyo kweli mkuu sema sifa zake na kashfa zake ili tujue tumeokota dodo au tumeokota tofaa lililoozaWakuu, maswali mengine huwa ni ya kuwakosea heshima dada zetu.
Nikutakie siku njema mkuu.Basi angepm watu mmoja mmoja!ukitoa mimba umezaa ila kabla wakati maana maziwa yanatoka na k.d!asiseme tu hajazaa.
Nawe pia,samahani kama nimekukera kwa msimamo wangu huo!Nikutakie siku njema mkuu.
Habari zenu wanachama wa JF,
Natafuta mwanaume ambae Mungu akitujalia awe mwana ndoa wangu, umri kuanzia miaka 27 kuendelea, awe na kazi yoyote inayo weza kumuingizia kipato kujituma maji ya kunde urefu futi 5, Mkiristo awe na mapenzi ya dhati.
Kwa upande wangu sijawahi zaa, sijawahi olewa, mcheshi na mwenye msimamo thabiti mengine kuhusu mimi pm.
Tafadhari kama ujumbe huta upenda usinitafute pm
Karibuni mliovutiwa na ujumbe wangu
Mungu awabariki sana
Hujanikera mkuu, unahitaji tu kuwa na uelewa mpana wa majambo.Nawe pia,samahani kama nimekukera kwa msimamo wangu huo!
We hii ID yako ndo unatumia busara, ile nyingine umemchamba tu ka sisi.Wakuu, maswali mengine huwa ni ya kuwakosea heshima dada zetu.
We hii ID yako ndo unatumia busara, ile nyingine umemchamba tu ka sisi.