Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Kitakua kibungo hiki.....mnaoenda kuzalisha mtakutana na sura polygon mpaka mzee baba akose nguvu za kusimama.
 
Duuh we unatisha yan mbabe utakae zaa nae anakaazi kweli kweli
 
Utatafuta sana na utabadilisha matangazo kila cku ila hutapata maaana hu..............!!!!
 
Moja awe mwanaume mwenye mvuto, mweupe ikiwezekana shombe kabisa ulafu futi 5 baada ya hapo mahusiano yafe, mtoto nitamlea mwenyewe na
sitaki kufatiliana kwa lolote.

Mwenye sifa hizo ani pm haraka ntajibu sms 20 tu za mwanzo sitaki blabla nyingi na maswali mengi pm.

Kama unazalisha njoo pm sema nazalisha tuma picha na namba yako nitakutafuta mimi nikivutiwa na picha yako.

Narudia sitaki maneno mengi pm sms ya kwanza andika nazalisha ya pili tuma picha ya tatu namba yako ntachagua mimi wa kuzaa nae.


PM IPO WAZI
Dai domo anakufaa wewe
 
PM nazalisha na nina mbegu za kiburushi bao moja ni nusu lita na nina uwezo kupiga bao tano kwa dk 1 sasa niambie huo mtungi wako unauwezo wa kuchaza lita ngapi ili isijetokea mafuriko kitandani ni pm nikuwezeshe mi nipo nakusubiri baby
 
Moja awe mwanaume mwenye mvuto, mweupe ikiwezekana shombe kabisa ulafu futi 5 baada ya hapo mahusiano yafe, mtoto nitamlea mwenyewe na
sitaki kufatiliana kwa lolote.

Mwenye sifa hizo ani pm haraka ntajibu sms 20 tu za mwanzo sitaki blabla nyingi na maswali mengi pm.

Kama unazalisha njoo pm sema nazalisha tuma picha na namba yako nitakutafuta mimi nikivutiwa na picha yako.

Narudia sitaki maneno mengi pm sms ya kwanza andika nazalisha ya pili tuma picha ya tatu namba yako ntachagua mimi wa kuzaa nae.


PM IPO WAZI
We Mzuri?
Manake hata sie tunapenda kupanda mbegu zetu kwenye shamba zuri.
Isije ikawa vigezo lukuki halaf we mwenyewe polygon
 
Eti nazalisha...
Hawa vjna wa Sirrro wamekuja na mbinu mpya ya kutunyaka...
Kwa mbinu hii sdhani kma watampata mtu[emoji12] [emoji16]
 
Moja awe mwanaume mwenye mvuto, mweupe ikiwezekana shombe kabisa ulafu futi 5 baada ya hapo mahusiano yafe, mtoto nitamlea mwenyewe na
sitaki kufatiliana kwa lolote.

Mwenye sifa hizo ani pm haraka ntajibu sms 20 tu za mwanzo sitaki blabla nyingi na maswali mengi pm.

Kama unazalisha njoo pm sema nazalisha tuma picha na namba yako nitakutafuta mimi nikivutiwa na picha yako.

Narudia sitaki maneno mengi pm sms ya kwanza andika nazalisha ya pili tuma picha ya tatu namba yako ntachagua mimi wa kuzaa nae.


PM IPO WAZI
[emoji5] [emoji5] [emoji5] [emoji5]

Pole sana dadaangu. Si muhimu kuandika kwa mhemko kiasi hicho.
Tulia, usihofu. Haya ni yakawaida.

Amini yupo aliyeumbwa kwaajili yako.
Usikubali kujiona umechelewa.

Wakati wa Mungu ndio wakati sahihi.

Usijishushe kiasi hicho.

Mimi siji PM. Blah blah zangu nimezishusha hapa. Ili kila mtu anayekabiliwa na changamoto kama yako aone.

Nifuate PM kama ulikuwa Sirias na ikiwa kweli ulikosa mume.
 
Back
Top Bottom