moses Mwanja
JF-Expert Member
- Oct 8, 2016
- 534
- 463
Najua pm yako ishajazana,ukiona wote waliokuja huko hawana vigezo tafadhar kihuba nifate pm
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3] nakuja na ujibu sasa ..vigezo vyote ninavyo!muongooo
Duh na wewe kama unataka kweli mme ni pmHabari zenu wanachama wa JF,
Natafuta mwanaume ambae Mungu akitujalia awe mwana ndoa wangu, umri kuanzia miaka 27 kuendelea, awe na kazi yoyote inayo weza kumuingizia kipato kujituma maji ya kunde urefu futi 5, Mkiristo awe na mapenzi ya dhati.
Kwa upande wangu sijawahi zaa, sijawahi olewa, mcheshi na mwenye msimamo thabiti mengine kuhusu mimi pm.
Tafadhari kama ujumbe huta upenda usinitafute pm
Karibuni mliovutiwa na ujumbe wangu
Mungu awabariki sana
Bado sijafunga maombi pm mkujeee
Mkuu ukifa c wanachukua wngne mbona mmekuwa waoga hvi jmn[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Majukumu nimekuzaa???
What if nimekufaa...! Tafuta kazi tumeshutuka mtu hakubali mtu kufanywa egemeo..
Ha ha ha ha hvi unajuaga kabisa meli haisubiriwi airport sasa we endelea kusubiri hautuoni ng'oHivi hawa mabinti was kiislamu mbona hamna hata mmoja anayetafuta mchumba..Tunawasubiri mjue
Sent using Jamii Forums mobile app
Njoo mamaNjoo PM nipo mie sifa zote ninazo
Kubali uwe mwislam nikuoe mke wa pili, unajua usilam ni dini nzuri sanaHabari zenu wanachama wa JF,
Natafuta mwanaume ambae Mungu akitujalia awe mwana ndoa wangu, umri kuanzia miaka 27 kuendelea, awe na kazi yoyote inayo weza kumuingizia kipato kujituma maji ya kunde urefu futi 5, Mkiristo awe na mapenzi ya dhati.
Kwa upande wangu sijawahi zaa, sijawahi olewa, mcheshi na mwenye msimamo thabiti mengine kuhusu mimi pm.
Tafadhari kama ujumbe huta upenda usinitafute pm
Karibuni mliovutiwa na ujumbe wangu
Mungu awabariki sana
Bado sijafunga maombi pm mkujeee
Mkawageuze MPESA wengine siyo mimi..! Mchumba tu unaniletea majukumu ya baba yako.?? Watu wa kusaidia wako wengi viwete, wazee, watoto, wagonjwa na wasijiweza..! Bora nikajipatie thawabu mbinguni nitamhudumia mke wangu tu na tena kutegemea uwezo wangu sipelekeshwi kijinga etii..!Cjaelewa mantiki yko hasa mkuu!!KE kutokuwa na kz vinahusiana nn na umri wke?!au kutokuolewa?hajakutana na hii mkuu mkeo akiwa na laki 5 ww una laki 2 hesabu ndani ya nyumba mnajumla ya laki 2 na CIO laki saba [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]!!poleni xana wakaka mnaoogopa maisha!!
Nitakupata tuhahaaaaaaaaaaaaaaha umenikosaaaa