Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Maji ya mbaazi au maji ya maharage hutaki?

Sifa
Asiwe mfupi
Mkristo
Maji ya kunde
Mjasiliamali
Miaka. 29-39
Anae jua mapenzi sio mgumu Kama gimbi
Ntampenda na hata jutia kunipata
 
Gafla nimekupenda sifa zote ninazo ila naweza onja chumvi kwanza
 
Umerudi Tena!?
Safari hii ilibidi uwape nafasi wanaotaka kuongezea mke
 
Back
Top Bottom