Baada ya kuligundua hili, najitoa rasmi jf

Hii imekuwa njia mpya ya kujipatia kiki ndani ya jf. Alianza Abbasifarudume nawe unaiga. Sawa mkuu
 
Hii ID yako najua inakusadifu but msafi sio sahihi, wewe ni mende na kazi ya mende ni kula na kutifua kinyesi, rudi kwa toi [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
Kawafundishe mende wenzio wawe wasafi kama ulivyowewe na uwaambie kuwa usafi huu nimeutoa jf
Kila La kheri
 
Naona unakomaa sasa kuufikia u-great thinker maana umetuvuta ma great thinker kwa hii thread ni mbinu nzuri kijana usijitoe jf unaelekea kuwa great thinker wa ukweli.
 
Teh halaf hii style naona ndio imeingia jf kama ya abas nae alijifanya anatoka kisa hapati likes wala comment kwenye thread zake
 
Umekuwa bora kwa u lazy thinker wako.
Ngoja nikuongezee coment zifike 2million nawewe.
 
Weka ID ya mwanamke afu weka thread unatafuta bwana. Koment 100+ zitakuja chap
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…