FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Kama si uchawi sijui itakuwa nini, ukiambiwa lile jengo lililojaa ukungu mweusi wa fungus kama kuta za choo cha Tandale kwa mfuga mbwa ni jengo la klabu kubwa zaidi barani Afrika na Tanzania unaweza usiamini.
Sasa mimi nitoe way forward badala ya kuishia kulalamika tu. Wafanye fascadal upgrading kwa kutumia material mbadala kama 'alluminum-plastic composite boards' na 'glass glazing sheets', hizi hata miaka mia hazina kuchakaa, kazi yako ni kung'arisha tu kama kioo cha gari, nitawaandalia '3D computer rendered model' ya jinsi jengo litavyoonekana baada ya hio upgrade bure kabisa. Vitu vingine vinatia aibu sana. Yaani hata simple landscaping/ gardening imewashinda kabisa, mazingira ya nje ni matope na uchafu uchafu.
________________________________
IG: @marble_na_granite
Sasa mimi nitoe way forward badala ya kuishia kulalamika tu. Wafanye fascadal upgrading kwa kutumia material mbadala kama 'alluminum-plastic composite boards' na 'glass glazing sheets', hizi hata miaka mia hazina kuchakaa, kazi yako ni kung'arisha tu kama kioo cha gari, nitawaandalia '3D computer rendered model' ya jinsi jengo litavyoonekana baada ya hio upgrade bure kabisa. Vitu vingine vinatia aibu sana. Yaani hata simple landscaping/ gardening imewashinda kabisa, mazingira ya nje ni matope na uchafu uchafu.
________________________________
IG: @marble_na_granite