Baada ya kuliona jengo la Yanga FC, nimeanza kuamini uchawi upo

suala la ukosefu wa kujishughulisha kwa vijana wengi hupelekea akili zao kuwa finyu na kinachoendelea vichwani mwao ni SIMBA NA YANGA! Nothing else! !
Wivu wako tu. Nadhani jamaa anajishughulisha ndo maana kaja na idea ya maendeleo kama hii.
Ulitaka aje na idea ya ngono ndo uone anafikiri?
 
suala la ukosefu wa kujishughulisha kwa vijana wengi hupelekea akili zao kuwa finyu na kinachoendelea vichwani mwao ni SIMBA NA YANGA! Nothing else! !
Tumeshashiba ugali wa mhogo na maharage tupo tunapunga upepo.
Unataka tuwaze nini zaidi ya tulivyonavyo.wewe endelea kuwaza kupiga picha na Trump
 
Wewe utakuwa unafungus kichwani Si bure
 
UMESHAINGIA LA SIMBA UKAONA JINSI NJE MPAKA NDANI LILIVYO BOVUUU.../ ACHA KUISIMANGA YANGA INGIA NDANI YA JENGO LA SIMBA AU INGIA KATIKA JENGO LENYE AZANIA BANK UPANDE JUU ULIANGALIE VIZURI JENHO LA SIMBA.
Yanga Ten alihamasisha matawi wakachanga,jengo lilishakarabatiwa na ndiyo Ten akaanzisha chumba cha habari,huyu mbumbumbu anavyoona pale kwao watu wako busy na kodi tu wala jengo halikumbukwi kama makumbusho vile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…