Pre GE2025 Baada ya kumbwaga Msigwa, Sugu agombee uenyekiti wa CHADEMA Taifa kurithi Mikoba ya Mbowe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
UWT WAPO KUPANGA NANI AWE MWENYEKITI
CHADEMA MAAJABU YA BWAWA LA MWALIM NYERERE HAYA.
 
mwenyekiti wamaisha mnataka mumpe matatizo sugu acheni kabisa sumu haionjwi atapotea
 
Chui amshauri swala jinsi ya kulinda na maadui

Adai anakerwa na ma wanyama wanao (predators) wanaowashambulia swala na ametoa wito atamsaidia swala kujilinda

Hivi ni kwa Nini Africa Kila jambo hutazamwa negatively

Bad wishes ni nyingi sana

Kwanini isiwe cdm wamechagua viongozi wazuri wataokaokiimarisha chama hatimaye kuleta mawazo mazuriya kuongoza nchi
 

View: https://twitter.com/MfanyakaziNews/status/1795878245394690371?t=WJkUoh6k96gsBr8mQI0EsQ&s=19
 
Aliwahi kusema viatu ni vikubwa mno mno kwake!
Unachosahau CDM sio chama cha kukurupuka kama uharo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…