[emoji122] [emoji122] [emoji122]Joyce Kiria anawakilisha wanawake wapumbavu duniani? . Je, Kilewo anatudhalilisha wanaume!?
Ni kweli wanawake wengine ni stubborn si kidogo,. Na wengi ni nature yao. Mwanamke silaha yake kubwa ni "mdomo" narudia "mdomo ". Na ukimkanya kidogo (kwa kibao kidogo) hata cha huba atapiga kelele mithili ya kuku aliye taga kwa mara ya kwanza.
Katika mazingira hayo, wanaume wasio na busara na hekima zawadi pekee anayo weza mpatia mwanamke ni kipigo. Nasema atasema anamfunza adabu." Kosa"
Maandiko ya Biblia yanaeleza wazi kuwa mwanaume atabaki kuwa Kichwa cha familia ikisaidiana na mkewe kwa karibu. Km Kichwa cha nyumba baba yafaa uelewa tabia za mwanamke, na uishi nae kwa akili. Narudi kwa akili! Tofauti na hapo aibu itakuwa ya kwako hata kama kosa ni lake. Haitakuwa tofauti na unapo kuwa unaoga, halafu atokee kichaa abebe nguo zake, then uenze kumkimbiza. Matokeo yake ama wote mtaonekana viachaa au wanao kujua watajua wew ndiwe umerukwa na akili.
Wanawake wameumbwa na hisia kali "Emotional" ndio maana anaweza kukwambia nipige "uone! Na ukimtazama ni mtu ambaye hampo nae sawa kinguvu na ukimtia "kelb" moja ya kumfundisha adabu ataanza kupiga mayoweeee.. Ukimuacha atasema "una muogopa " Nini kifanyike, Wanaume ishini na wake zenu kwa akili.
Kuna wanawake wengine ni wagomvi wanawagombeza waume zao popote walipo, wanawatusi, wana wapiga wanaume, tena vipigo vikali si kidogo. Wengine huwa wanawafungia nje, na wakati mwingine huwatimua kabisa, ila maskini wanaume, wao machozi ya Samaki, maumivu ndani kwa ndani "Akisema sana atamwambia mshikaji wake wa karibu!
Na wanaume nanyi tokea, mbona wao mkiwapiga kiduchu, ni kelele mtaa mzima? That's fair?
Aidha, Wanaume wanao kutana na madhila hao ama ni :-
*wanaume wanao lishwa, na kutunzwa na na wanawake wanao jiweza kiuchumi "mamaz au dadaz" yaani kazi yao = msingi ni kiuno. Ujinga!
*Wanaume wasio timiza majukumu yao ya ndani ya "ndoa " Sasa hapa Kuna sababu kadhaa ama ni tatizo la kimaumbile, tatizo kiafya, au Uvivu tu. Hapa lazima mwanamke awashe moto ndani. "Ji-adjust"
*Au sababu nyingine ni mwanaume kukosa msimamo, yamkini mwanamke ana uchumi imara kuliko wew, ila ukisha poteza legitimacy ya kimawazo, kifikra na msimamo nyumbani. Usitegemee kuheshimiwa hata na wanaume wenzio uraiani.
Mwsho, siungi mkono udhalilishaji wa kumpiga mwanamke, ila hadi kufikia kiwango cha kumtwanga mwanamke ni ishara kuwa wew mwanaume huna na umekosa ushawishi, Mwanamke amesha jua udhaifu wako, amesha kuvuta katika level zake, hivyo anakufanya anavyo ona inafaa. Ndoa nyingi mno, huwa uwanja wa ugomvi na sababu kubwa ni mwanaume kutosimama katika nafasi yake.
Nini Maoni Yako?
Ndimi, Noel Shao
Nadhan wew ndo umeongea point.Mwanamke inabidi uwe wa kwanza kujua Hali ya Kipato cha mumeo na uweze kuish kulingana na wakati Unajua Kabisa Hali ya mume wako ni tete Unakubali Kuish Vipi kwenye nyumba ya gharama kubwa, na Kama basi unauwezo WA kulipa basi usilalamike .
Hili ni tatizo la wanawake wengi hasa Kizazi cha Sasa,mwanaume uwezo wake kupanga chumba na varanda, yeye atataka nyumba nzima, akidai atalipa mambo yakimuwia magumu anaaza kulalama. Acha ya mkute.
Swadaqta.Naona wanawake live imemgeukia, sasa ni Joyce live...
Kila mmoja ana changamoto zake, anafikiri kila mtu akianza kulia kwenye mitandao patatosha???
Mwanaume unamtengeneza mwenyewe sasa kama alikuwa kamzoesha kuishi bure apambane na khali yake tuu!!!
Mkuu na hii ndo maana suala la single mama halitaisha kama ndo wanawake wenyewe hawa wa kuweka hadharani mambo ya ndani.duuh asee kosea kujenga kweli na sio kuoa.Nitashangaa sn huyo mumewe akirudi kwenye hiyo nyumba baada ya hii video...elimu ni kitu kizuri sn jamani joyce angekuwa amefika hata form 4 asingweza kufanya haya
Ivi yupo yule mama!Nadhani kuna mahali tunasahau kumuliza huyo Joyce,
Je,ni tangu waoane mumewe hakuwa analipa kodi?
Kama jibu ni ndiyo,wakati wote hakuwahi kulalamika ni mpaka amepigwa,kwanini???
Kama alikuwa analipa,amebainisha sababu zilizopelekea kushindwa kuhimili kodi kwa sasa?
Tumesikia upande mmoja tu,si ajabu akija mumewe kuelezea uhalisia tutaishia kushangaa tu!
Baadhi ya wanawake ni Shida shida Shida!!!! Hasa wakiwa na kipato kuliko mume!!!
Hivi Flora Mbasha yupo wapi?????
Kwa hiyo kwa sasa ndo wanawake mnavofundwa kuwa muwe mnayaanika madhaifu ya wenza wenu ktk mitandao eeh?Nanyi wanaume bwana!! Kwani hayo hakuyaona kabla? Mume kamtengeneza kuwa hivyo, alijijua hana uwezo ila akaruhusu hayo yote. Hivyo apambane alipe bills kama mkewe anavyotaka.
Haaa aaaah acha tu mkuu bora angeuchuna akaangalia ustahatabu wake...Yeah... ni better kuepusha msongamano kuliko kufikia hatua hii, nimemdharau sana huyu dada
Kuna mdau aliandika kwamba Joyce Kiria kwao ni Old Moshi, mowo. Ndio maana nikamuuliza Joyce ni Mmachame!?Kiria katoka wapi Machame?
Ohooooo!!!Afuu kumbe yumo humu, Uzi wake unefukuliwa now akijisifia kumuoa Joyce!
Best comment ever!!!!Joyce Kiria anawakilisha wanawake wapumbavu duniani? . Je, Kilewo anatudhalilisha wanaume!?
Ni kweli wanawake wengine ni stubborn si kidogo,. Na wengi ni nature yao. Mwanamke silaha yake kubwa ni "mdomo" narudia "mdomo ". Na ukimkanya kidogo (kwa kibao kidogo) hata cha huba atapiga kelele mithili ya kuku aliye taga kwa mara ya kwanza.
Katika mazingira hayo, wanaume wasio na busara na hekima zawadi pekee anayo weza mpatia mwanamke ni kipigo. Nasema atasema anamfunza adabu." Kosa"
Maandiko ya Biblia yanaeleza wazi kuwa mwanaume atabaki kuwa Kichwa cha familia ikisaidiana na mkewe kwa karibu. Km Kichwa cha nyumba baba yafaa uelewa tabia za mwanamke, na uishi nae kwa akili. Narudi kwa akili! Tofauti na hapo aibu itakuwa ya kwako hata kama kosa ni lake. Haitakuwa tofauti na unapo kuwa unaoga, halafu atokee kichaa abebe nguo zake, then uenze kumkimbiza. Matokeo yake ama wote mtaonekana viachaa au wanao kujua watajua wew ndiwe umerukwa na akili.
Wanawake wameumbwa na hisia kali "Emotional" ndio maana anaweza kukwambia nipige "uone! Na ukimtazama ni mtu ambaye hampo nae sawa kinguvu na ukimtia "kelb" moja ya kumfundisha adabu ataanza kupiga mayoweeee.. Ukimuacha atasema "una muogopa " Nini kifanyike, Wanaume ishini na wake zenu kwa akili.
Kuna wanawake wengine ni wagomvi wanawagombeza waume zao popote walipo, wanawatusi, wana wapiga wanaume, tena vipigo vikali si kidogo. Wengine huwa wanawafungia nje, na wakati mwingine huwatimua kabisa, ila maskini wanaume, wao machozi ya Samaki, maumivu ndani kwa ndani "Akisema sana atamwambia mshikaji wake wa karibu!
Na wanaume nanyi tokea, mbona wao mkiwapiga kiduchu, ni kelele mtaa mzima? That's fair?
Aidha, Wanaume wanao kutana na madhila hao ama ni :-
*wanaume wanao lishwa, na kutunzwa na na wanawake wanao jiweza kiuchumi "mamaz au dadaz" yaani kazi yao = msingi ni kiuno. Ujinga!
*Wanaume wasio timiza majukumu yao ya ndani ya "ndoa " Sasa hapa Kuna sababu kadhaa ama ni tatizo la kimaumbile, tatizo kiafya, au Uvivu tu. Hapa lazima mwanamke awashe moto ndani. "Ji-adjust"
*Au sababu nyingine ni mwanaume kukosa msimamo, yamkini mwanamke ana uchumi imara kuliko wew, ila ukisha poteza legitimacy ya kimawazo, kifikra na msimamo nyumbani. Usitegemee kuheshimiwa hata na wanaume wenzio uraiani.
Mwsho, siungi mkono udhalilishaji wa kumpiga mwanamke, ila hadi kufikia kiwango cha kumtwanga mwanamke ni ishara kuwa wew mwanaume huna na umekosa ushawishi, Mwanamke amesha jua udhaifu wako, amesha kuvuta katika level zake, hivyo anakufanya anavyo ona inafaa. Ndoa nyingi mno, huwa uwanja wa ugomvi na sababu kubwa ni mwanaume kutosimama katika nafasi yake.
Nini Maoni Yako?
Ndimi, Noel Shao
Msome Noel shao, usipomuelewa basi tena.Kwa hiyo kwa sasa ndo wanawake mnavofundwa kuwa muwe mnayaanika madhaifu ya wenza wenu ktk mitandao eeh?
Kodi ya mwaka tu tayari uwanja na vyumba viwili goba au mbezi msumi unapata,hakupaswa kuyaanika mambo binafsi mitandaoni hata wajukuu zake watakuja kuyaona.Ni mapito tu avumilie.hivi unapangishaje ghorofa la millioni kadhaa? bora nipange chumba kimoja nijenge hata mbagala huko.wadada wa mjini wana mashow off sana .kumbe wanateketea kwa ndani
Hahah!, nimewashiba! [emoji1]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] knakaukwel lkn!!! tabora knajamaa anajinaa tuu mjini ila wife ake ndo kilakitu had ela ya mafuta had nguo ila mkeake ndo umwambii kitu yani ni anampendaje...... (anasimamia stationary)
kisa et endisamu [emoji23][emoji23][emoji23] vitu vingine mnatakaga wenyewe lkn
nachukia alchofanya j kama vp aseme na sabab ya mkon'goli.....