Alipigwa dafulau kwan kipindi cha nyuma j alikua anatumia zake au alikubali vp kuolewa na mtu asie na hela kwel mwanaume ujasiriHivi kelewo asishawahi kuwa Mbunge wa wapi vile?
ahaaaaa watakula kwa vichambo sasaItabidi basi na ile mwanaume atakula kwa jasho nayo ifanyiwe ammendment.
Yakiwafika ndio huwa mnaikumbuka hiyo kauli.
Dada unawajua wanawake type ya kina joyce kiria? Hao ni wadada wa mjini wanaotaka show off, kuna mda mwanaume ukishamjua mkeo wa aina gani unamuacha tu ili kuepusha shari, type ya kina joyce ni wale ambao huwa wanataka kushindana na mwanaume, usikute kamanda alishamawambia bwana mm siwez kulipa hzo bills za bei kali lakin mdada kutokana na ujeuri na kujiona yeye anaweza akasema ntalipa,, sasa yamemfika shingoni ndo anaanza kuongea pumba mtandaoniTatizo ni mwanaume, kichwa cha familia unashindwa vipi kusimama katika nafasi yako!!!
Natamani nikupe no zake umpe huu ushauri live....ajione yuko uchiNaona wanawake live imemgeukia, sasa ni Joyce live...
Kila mmoja ana changamoto zake, anafikiri kila mtu akianza kulia kwenye mitandao patatosha???
Mwanaume unamtengeneza mwenyewe sasa kama alikuwa kamzoesha kuishi bure apambane na khali yake tuu!!!
Sijakuelewa KamandaAlipigwa dafulau kwan kipindi cha nyuma j alikua anatumia zake au alikubali vp kuolewa na mtu asie na hela kwel mwanaume ujasiri
Kumbe wewe unamjua K kuliko sisi masela wake?hana kazi acha uongo
Yaani single kama mimi lol[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mkuu sipo unavofikiria sijaolewa wala sina hata boyfriend ila nachojua kila mtu kwenye ndoa ana wajibu wake
Tatizo ni mwanaume, kichwa cha familia unashindwa vipi kusimama katika nafasi yako!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]ahaaaaa watakula kwa vichambo sasa
Ni katibu wa CHADEMA kanda ya Pwani, makatibu wote ni waajiriwa kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA. Yupo kwenye payroll ya CDMhana kazi acha uongo
Nanyi wanaume bwana!! Kwani hayo hakuyaona kabla? Mume kamtengeneza kuwa hivyo, alijijua hana uwezo ila akaruhusu hayo yote. Hivyo apambane alipe bills kama mkewe anavyotaka.Dada unawajua wanawake type ya kina joyce kiria? Hao ni wadada wa mjini wanaotaka show off, kuna mda mwanaume ukishamjua mkeo wa aina gani unamuacha tu ili kuepusha shari, type ya kina joyce ni wale ambao huwa wanataka kushindana na mwanaume, usikute kamanda alishamawambia bwana mm siwez kulipa hzo bills za bei kali lakin mdada kutokana na ujeuri na kujiona yeye anaweza akasema ntalipa,, sasa yamemfika shingoni ndo anaanza kuongea pumba mtandaoni
Kuna mambo mnalaumu wanawake bure tu, nyie ndio mnawatengeneza kuwa hivyo. Ukisharuhusu moja ruhusu tu na la pili.Wanawake waache kuishi kwa kufuata mkumbo,inawezekana K alitaka wakakae Kitunda huko kila J akataka Mbezi beach.
Mkuu me ndio maana nimeamua kuachana na madem walioishia hata form4. Ni mwendo chuo na kuendelea tu, wana stress za maisha sana hiyo types za KiriaNitashangaa sn huyo mumewe akirudi kwenye hiyo nyumba baada ya hii video...elimu ni kitu kizuri sn jamani joyce angekuwa amefika hata form 4 asingweza kufanya haya
weka full video mbona ya dk 1 mojanaomba mods msidelete post yangu kisa nimemtaja mtu mkumbuke mwenyewe ndo kaweka mambo yao hadharani kwenye mitandao hapa tunamalizia tu mjadala.
binafsi sijawai kumkubali joyce kiria kiviile japo ana mambo ambayo huwa anafanya yana positive impact kwa jamii .ila kuna mahali huwa anajichanganya sana hadi mtu unajiuliza huyu mama vipi.
jana kapewa kichapo kitakatifu na mume wake ,yule jamaa handsome sana nadhani yule mwanamke alimpush to the limit.
anadai eti yeye mwanamke ndo analipa bills zote za familia hadi kodi ya nyumba.sasa nimetafakari japo mimi wala sijaligi mambo ya watu .huyu mwanamke anaishi nyumba ya kupanga mbezi beach tena ghorofa ,mi nilijua ni nyumba yao. anaishi maisha ya juu hasara kwa nani .alipishwe mwenyewe hizo bills
na nyie wanaume unaishije nyumbani hata sabuni hununui jamani? kweli ? acheni hizo makamanda .ndo maana mimi sipendi wanaume wa chadema bora wazee wa lumumba buku saba daily sio mbaya .
video akimchamba mume asielipa hata kodi ya nyumba
Acha kutukosea heshima bnaThread nyingi za wanawake humu JF zinaakisi maisha ya akina J.....ila leo 99% watamponda J