Msambwata
JF-Expert Member
- Nov 20, 2017
- 1,307
- 1,500
Hahaha huyu ni?Mh sijaelewa, yani masuala ya ndoa ameyatangaza mtandaoni ?
Si wangeyamaliza huko kwao.
Huyu ni shithole wife !
Musiba ni Msiba!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha huyu ni?Mh sijaelewa, yani masuala ya ndoa ameyatangaza mtandaoni ?
Si wangeyamaliza huko kwao.
Huyu ni shithole wife !
Ok apo sawa kwan samahani lkn tunajadili kitu tusichokijua ivi toka wajuane hao watu mwanamke alikua mlipa kodi kwan kipindi cha ubunge jamaa alikua anatumia hela na nani kwann matatizo yamekuja kipindi jamaa uchumi umeyumba na hakika hela nyingi ametumia mwanamke kwenye harakati zake mana alijibrand sana sasa naanza kuona sio superwoman tena tukumbuke nyuma pia sio leo tunaongelea wajibu kwa mume ila mume akuongelea wajibu kwa mke kipindi cha mke anazurula mikoani na dunia sa cjui alikua anatafuta atumie na nani yani we dada ata sheria ya dini yng ingeniruhus niwe na mke wa pili we ungesema uko tayar ningekataa mana ungekua ni family money laundry ningebaki empty alafu ungesepa ahahahahahamkuu sipo unavofikiria sijaolewa wala sina hata boyfriend ila nachojua kila mtu kwenye ndoa ana wajibu wake
bora utombe ufanye logistics za home kuliko kutangazwa dunia nzima jamaniHuyo mdada ni punguani mbona wakati kamanda analipa hzo bills hakua anakuja kutangaza kwenye mitandao, ktu wasichokijua wanawake ni kwamba kuna siku mmeo ataishiwa na hiko ndo kipimo cha upendo.. Sasa kuja kumuanika kwenye mitandao ndo nin, akina dada wa sku hz sjui akili zao zipo wapi,
Wakat nakua nakumbuka mdingi aliyumba almost 2 years bi mkubwa anaamka saa 11 anachoma maandazi, saa 2 anachoma chapati naomba hela ya shule napewa na bi mkubwa, for 2 years, lakin hawa wa sasa hv ukikosa hela week tu utatombewa had na wauza karanga za sh. 50.
Unauwakika Hana payroll, pengine IPo lakini kwa matumizi anayohitaj huyo mke wake hayatoshelezi .mimi sishangai sana Joyce kupigwa..
nashangaa sana kamanda mkubwa wa chadema... kukosekana kwenye payroll ya chadema.. je kina nani wapo kwenye payroll kama kamanda mkubwa kama mume wa joyce hayupo...
Joyce alisherehekea Talaka na Dj nelly ambaye ndie aliemtoa kwenye u house girl....
so sishangai hata akimtukana mumewe mpya... na alivyo na bahati akiachika tu anaolewa tena.. huku kuna wanawake walifunga na kusali na ndoa hawajaipata maishani mwao yote
Acha umbea Dada. Alokwambia Kilewo hana kazi ni nani? Njoo Victoria uone jamaa anafanya kazi wapi. Ila J ametaka maisha ya anasa na K hayatakimimi sishangai sana Joyce kupigwa..
nashangaa sana kamanda mkubwa wa chadema... kukosekana kwenye payroll ya chadema.. je kina nani wapo kwenye payroll kama kamanda mkubwa kama mume wa joyce hayupo...
Joyce alisherehekea Talaka na Dj nelly ambaye ndie aliemtoa kwenye u house girl....
so sishangai hata akimtukana mumewe mpya... na alivyo na bahati akiachika tu anaolewa tena.. huku kuna wanawake walifunga na kusali na ndoa hawajaipata maishani mwao yote
hana kazi acha uongoAcha umbea Dada. Alokwambia Kilewo hana kazi ni nani? Njoo Victoria uone jamaa anafanya kazi wapi. Ila J ametaka maisha ya anasa na K hayataki
Musiba ni Msiba!
Itabidi basi na ile mwanaume atakula kwa jasho nayo ifanyiwe ammendment.Kunaitajika amendment kidogo kwenye mume/mke kwenye shida na raha napendekeza iwe kwenye raha tu shida kila mtu ana wazazi au mlezi ake aende na akaendelee na maisha yake mpk raha kwa pamoja irudi ndipo ndoa irudi
Hivi kelewo asishawahi kuwa Mbunge wa wapi vile?Ok apo sawa kwan samahani lkn tunajadili kitu tusichokijua ivi toka wajuane hao watu mwanamke alikua mlipa kodi kwan kipindi cha ubunge jamaa alikua anatumia hela na nani kwann matatizo yamekuja kipindi jamaa uchumi umeyumba na hakika hela nyingi ametumia mwanamke kwenye harakati zake mana alijibrand sana sasa naanza kuona sio superwoman tena tukumbuke nyuma pia sio leo tunaongelea wajibu kwa mume ila mume akuongelea wajibu kwa mke kipindi cha mke anazurula mikoani na dunia sa cjui alikua anatafuta atumie na nani yani we dada ata sheria ya dini yng ingeniruhus niwe na mke wa pili we ungesema uko tayar ningekataa mana ungekua ni family money laundry ningebaki empty alafu ungesepa ahahahahaha
Tatizo ni mwanaume, kichwa cha familia unashindwa vipi kusimama katika nafasi yako!!!Tatizo hapo utakuta mwanamke alitaka kuishi maisha ya juu ilhali mwanaume uwezo wake ni wakawaida.
Ili kuonesha ataweza akaamua kumwambia mwanaume nitasimamia show zote!
Kuwa nalo kuubwa halafu yo not man enough pia ni ulemavu tu.Wazee wa Lumumba ndio hao wa kina Le Mutuz ambao wana vinukta...
Bila wanawake dunia yani kungekua na ixo uduma zenu alaf zina zaa wanaume wote duniani wangekua matajir kwa akili yako ya kusema kulelewa na si kwel nyie mnapenda kupewa muda mwingi kuliko kuacha muda mwingi wa kutafuta ndo mana unataka kiben ili ukae nae muda wote tu anakubembeleza na mavitu kibao xikikata mnaanza kulia eti unamlea bila kujali muda wake aliopoteza kuwa na we karibu si angekua anatafuta maisha yakemijanaume inapenda lelewa sikuiziii
Arazeeka vibaya huyuamepangisha gorofa baharini huko mkuu.hataki shida
Safi sana....[emoji106]hivi unapangishaje ghorofa la millioni kadhaa? bora nipange chumba kimoja nijenge hata mbagala huko.wadada wa mjini wana mashow off sana .kumbe wanateketea kwa ndani