Baada ya kumdhalilisha mumewe, Joyce Kiria asema hataki ushauri kutoka kwa mtu yoyote

Baada ya kumdhalilisha mumewe, Joyce Kiria asema hataki ushauri kutoka kwa mtu yoyote

Huyu Dj Nelly nae sijui anawaokoteaga wap wanawake zake,
1:Joyce Kiria
2:Sasha kassim (huyu ni muizaji maarufu wa nyap huko inst)
3:.....
Tuweke unafiki pembeni, hivi huyo Sasha ungekuwa ww ungemuacha?
 
Yaani unaenda kupanga Nyumba ya ghirofa Mbezi beach badala ya kujenga? Stupid show off kumbe umepanga. Mbona hakuondoka kimyakimya? Amejiharibia na hata mwanaume wa ku date naye itakuwa ngumu. Sana sana ataishia kuchukuliwa na mariooos aka serengeti boy ili wamlie vipesa tu. Stupid upgraded housegirl. Hongera sana kwa kamanda Kileo kuwa silent. Huo ndiyo uanaume. Kileo jipange upya ila pia jitahidi uzalishe upate hela man maana familia kichwa maana inakuwa kichwa kwelikweli. To all men kupiga mke siyo solution kaa chini TAFAKARI na imeshindikana achaneni mapema ili kila mmoja akajipatie wake wa kumfaa.
 
Majira Mtujuze hali ya sasa ya huyu Dada anaendeleaje au alishajirudisha kimya kimya
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom