Mwanapropaganda
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 4,235
- 2,508
aiseeeeeee
Hhhhhaaahhhaa, mpaka nimepaliwa hii kwa hiyo sisi wambea tutaishi miaka miaa nimecheka aiseee
Ahsante kwa kunivunja mbavu toka asubuhi leo sijacheka warumi njoo ucheke na wewe ROBERT MICHAEL ukuje huku
Heaven on Earth huyu Anty ana umri gani?
Heaven on Earth huyu Anty ana umri gani?
Bora azaee
Hata mi naona bora azae tu
Kwanini unaona hivyo
kumbe afanyeje!!!
km kweli ishakula kwake ila nlikua namheshimu sana mr.mbuga
kumbe naye ni muindaji haramu!!
CC: warumi....uchonge mkongojo kabisaaaa...Miaka 120 inakuhusu...
Samahani mi Mgeni mjini humu...mbuga zetu ndo muheshimiwa yupi huyo??🙈
Huyo mume wa mtu hana jina jamani????
Nilikuwa najaribu kufikiri maana kwenye picha akiwa na Mbunga zetu hakuwa na tumbo.
Bora hisiwe ya Mbuga zetu lakini...
Humujui yule kwa hisani ya watu wa wamarekani?
Sis nakuona unaongeza miaka... Btw miss you kinyama!
Hhhhhaaahhhaa, mpaka nimepaliwa hii kwa hiyo sisi wambea tutaishi miaka miaa nimecheka aiseee
Ahsante kwa kunivunja mbavu toka asubuhi leo sijacheka warumi njoo ucheke na wewe ROBERT MICHAEL ukuje huku
CC: warumi....uchonge mkongojo kabisaaaa...Miaka 120 inakuhusu...
Wambea tuna miaka mingi.. jana nilivyosoma kwenye mwananchi nimechekaje nimepiga na picha ikae kwenye file langu.
Kwahiyo wala hakuna kuacha
Yaan kila nikiparudia mimi hoiii
Warumi umemfikisha hapaa
Heaven nilikukosea sana na mimi ndio kachokozii kwa kushabikia mambo yale yasiyonihusu,naomba unisamehe usibaki na kinyongo tusameheane vinyongo vyote tuvitupe kule hata majembe hugongana sembuse sie nisamehe shoga angu,ya moyoni haya sijaona haja kuandika pm japo ni machache lakini yana maana tusikae na vnyongo kwa mambo ya kijinga na kipuuzi,sawa my dia nipo nimepiga magoti huku nasubiri msamaha upitishwee