Baada ya Kumkimbia Mumewe, Aunt Ezekiel Adungwa Mimba na Mume wa Mtu

Baada ya Kumkimbia Mumewe, Aunt Ezekiel Adungwa Mimba na Mume wa Mtu

Yaan kila nikiparudia mimi hoiii
Warumi umemfikisha hapaa
Heaven nilikukosea sana na mimi ndio kachokozii kwa kushabikia mambo yale yasiyonihusu,naomba unisamehe usibaki na kinyongo tusameheane vinyongo vyote tuvitupe kule hata majembe hugongana sembuse sie nisamehe shoga angu,ya moyoni haya sijaona haja kuandika pm japo ni machache lakini yana maana tusikae na vnyongo kwa mambo ya kijinga na kipuuzi,sawa my dia nipo nimepiga magoti huku nasubiri msamaha upitishwee

Msukuma kwa goti hiyo ni kawaida mie naomba uweke kichwa chini miguu juu kwa dakika kumi nitakuja hapo kwako kuhakikisha kama umefanya hivyo na tena uwe unalia nakulia maana msamaha bila chozi hauendi kabisaaaa.....lol.Usijali heaven ninayemfahamu atakuwa ameishakusamehe kitambo akikataa kukusamehe uniambie nikamfungulie kesi maana ninamdai keki yangu mpaka leo hajanipa
 
attachment.php

Hiyo mimba ya bonge nini?
 
Ama kweli kuolewa kunazidi kuwa kama fashion. Mnamo mwaka 2012 Aunt Ezekiel aliolewa
kwa mbwembwe zote na kijana Sunday Del Monte na baadae kwenda kuishia nae huko Dubai.
Sunday wakati huo pesa ilikua si tatizo kwake na hata kukubali kuolewa na kijana yule ilikua ni
kufata pesa zake.

japo baadae aliwekwa kizuizini kutokana na kuishi huko Dubai Kinyume na sheria na hadi sasa
nasikia bado yuko nyuma ya Nondo akisubiria mwisho wa hatma yake. Baada ya sakata hilo aunt
Ezekiel aliamua Kuamua kurudi Bongo na kuendelea kula bata kama kawa kama dawa

Hivi sasa Mwigizaji huyo mashuhuri kapachikwa Mimba na inaedaiwa kuwa mimba hiyo ni ya mume
wa mume wa mtu. Habari za mimba hiyo alikua hataki zijulikane na alikua akijificha ficha sema ndio
wambea tukazinyaka.......Alikua anasema anatamani kupata mtoto sasa aliyokua anatamani yametimia.

Happy birthday Mama Kijacho, Picha hiyo jana kwenye birthday nadhani unaona mwenyewe
attachment.php


Huyo mme wa mtu ni nani?majungu ya nini hapa jamvini?
 
Aunt Ezekiel hatariiiii iyobo amefanya mambo ..hongera Sana moses iyobo sasa mtulie mlee mimba
 
Yaan kila nikiparudia mimi hoiii
Warumi umemfikisha hapaa
Heaven nilikukosea sana na mimi ndio kachokozii kwa kushabikia mambo yale yasiyonihusu,naomba unisamehe usibaki na kinyongo tusameheane vinyongo vyote tuvitupe kule hata majembe hugongana sembuse sie nisamehe shoga angu,ya moyoni haya sijaona haja kuandika pm japo ni machache lakini yana maana tusikae na vnyongo kwa mambo ya kijinga na kipuuzi,sawa my dia nipo nimepiga magoti huku nasubiri msamaha upitishwee
Tuwekee picha hahaha
 
Toka lini ukasikia WAMBEA wanakufaga na magonjwa ya ajabu ajabu kama kisukari,sijui presha,mara sijui moyo, unaanzaje kwanza? Maana sifa kubwa ya wambea sie HATUNA VINYONGO wala kuweka vitu moyoni kila kitu tunatoa moyoni, yani mimi hata unipe million sijui nisitoe umbea kwa kweli siwezi mtanisamehe, mimi sina kifua kabisa, na ndio maana siumwi magonjwa ya ajabu ajabu, napataje presha sijui mara stroke, vinatoka wapi wakati moyo wangu safi kabisa sijabeba chuki wala siri za kuniumiza moyo?? KAMA SIRI ZANGU TU NAZITOA ZAKO UNADHANI NITAZIWEKA WAPI?? mimi siwezi hayo mambo.

Ndo maana bi hindu, bi chau na mhogo mchungu wala hawanaga magonjwa sijui presha mara kisukari, maana wao midomo kutwa ipo juu kama dish la DSTV mioyo yao myeupe, masaa yote umbea, unajua umbea unaleta afya, na kufariji moyo

Shikamoo Warumi..
 
Msukuma kwa goti hiyo ni kawaida mie naomba uweke kichwa chini miguu juu kwa dakika kumi nitakuja hapo kwako kuhakikisha kama umefanya hivyo na tena uwe unalia nakulia maana msamaha bila chozi hauendi kabisaaaa.....lol.Usijali heaven ninayemfahamu atakuwa ameishakusamehe kitambo akikataa kukusamehe uniambie nikamfungulie kesi maana ninamdai keki yangu mpaka leo hajanipa

Sina la kuongezeaaa nilimchokoza kwelii, nilimuacha apunguze hasira kwanza
Cc Heaven on Earth
 
Last edited by a moderator:
Umeanza nawe kunichokoza picha ipi sasa unataka we mrembo

Sasa ivi umbea utanoga, nitaanza kurudi rasmi warumi, hii inaitwa WAMBEA RE UNITED unategemea nini apo kama sio balaaa?? Sijui tuzindue ijumaa kuanzia usiku hadi hasubuhi full UMBEA
 
Last edited by a moderator:
Sasa ivi umbea utanoga, nitaanza kurudi rasmi warumi, hii inaitwa WAMBEA RE UNITED unategemea nini apo kama sio balaaa?? Sijui tuzindue ijumaa kuanzia usiku hadi hasubuhi full UMBEA

Hhhhhaaaaaaaa uwiiiiiiiii😀😀😀😀😀😀:thumbup::thumbup::thumbup::thumbup::thumbup::thumbup:
 
Last edited by a moderator:
Yaan kila nikiparudia mimi hoiii
Warumi umemfikisha hapaa
Heaven nilikukosea sana na mimi ndio kachokozii kwa kushabikia mambo yale yasiyonihusu,naomba unisamehe usibaki na kinyongo tusameheane vinyongo vyote tuvitupe kule hata majembe hugongana sembuse sie nisamehe shoga angu,ya moyoni haya sijaona haja kuandika pm japo ni machache lakini yana maana tusikae na vnyongo kwa mambo ya kijinga na kipuuzi,sawa my dia nipo nimepiga magoti huku nasubiri msamaha upitishwee

Yameshaisha Dinazarde nimekusamehe kiroho safi... yaliyopita yamepita tugange yajayo..

Msamaha umepitwishwa na muhuri juu LOL, nimejisikia vyema na amani sana kwa hii post yako i wish ujue...
 
Last edited by a moderator:
Sasa ivi umbea utanoga, nitaanza kurudi rasmi warumi, hii inaitwa WAMBEA RE UNITED unategemea nini apo kama sio balaaa?? Sijui tuzindue ijumaa kuanzia usiku hadi hasubuhi full UMBEA

Hahaaaaaa WAMBEA RE UNITED nimeipenda hiyo....
Ijumaa uwe uzinduzi maana mwanzo ilikua mpanganyiko no kueleweka humu ndani
 
Last edited by a moderator:
Msukuma kwa goti hiyo ni kawaida mie naomba uweke kichwa chini miguu juu kwa dakika kumi nitakuja hapo kwako kuhakikisha kama umefanya hivyo na tena uwe unalia nakulia maana msamaha bila chozi hauendi kabisaaaa.....lol.Usijali heaven ninayemfahamu atakuwa ameishakusamehe kitambo akikataa kukusamehe uniambie nikamfungulie kesi maana ninamdai keki yangu mpaka leo hajanipa

Hiyo keki husahau tu lol...

Tushasameheana maisha yanarudi kama zamani my dear..
 
Yameshaisha Dinazarde nimekusamehe kiroho safi... yaliyopita yamepita tugange yajayo..

Msamaha umepitwishwa na muhuri juu LOL, nimejisikia vyema na amani sana kwa hii post yako i wish ujue...

Nashukuru na nimefurahi pia,hilo pepo limeshindwa ,nimejifunza kutokana na makosa, sasa hivi mi ni mpyaa,ahsante sana Heaven
 
Last edited by a moderator:
Hahaaaaaa WAMBEA RE UNITED nimeipenda hiyo....
Ijumaa uwe uzinduzi maana mwanzo ilikua mpanganyiko no kueleweka humu ndani

Hhhhaaaa umenikumbusha kitu yaan mfano kuna ka umbea umekatoa kwa mafumbo nashindwa nikuulizejee hhhhhaaaa
 
Hasira zimeisha.. nilikua busy tu leo usije kudhani nilikupotezea.. NIMEKUSAMEHE NA MAISHA YAZIDI KUENDELEA tufurahie umbea wa celebrities forun

Nilijua utakua busy na huu umeme wa mgao, nashukuru kusameheana ni jambo zuri na sasa umbea ni wa celebrities forum mengine tupa kule, nayatupa kule,Amina
 
Back
Top Bottom