Baada ya Kumsikiliza Feitoto na Interview yake na Clouds FM leo Kisaikolojia Feitoto hayuko mbali kutoa SIRI nzito

Baada ya Kumsikiliza Feitoto na Interview yake na Clouds FM leo Kisaikolojia Feitoto hayuko mbali kutoa SIRI nzito

Namba 5 hiyo popoma uwepo sijui una busara 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Namba 7 wanaolishikia bango ni madunduka wenzako, ukiwemo popoma. TUKANA UONE na hivi ni Mara moja, tutaghechana tu🤗
 
GSM na Hersi watoke hadharani kukanusha tuhuma na madai ya Fei dhidi yao, mbna mie sioni km kuna ugumu wa hao kufanya hivyo.

Wao ndio wanatakiwa kulimalizaa hili.

NB: kuna siku kabwili aliwahi sema kule chimbo iko wakati wataumbukaa, hata ichelewee.
Huko chimbo lenu hukooo 🤓 🤓 🤓
 
GSM na Eng wako zao Algeria wakiipambania timu kujaza vikombe na medali, hawana muda wa kijibu pumba za anayefundishwa cha kuongea.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee usinichekeshee mie hapa. Wakimaliza kuipambania hiyo team, watoke hadharani kujibu tuhuma na mdai dhidi yao.
 
Huko chimbo lenu hukooo [emoji851] [emoji851] [emoji851]
Uduguu kuna mengii, ngojaa kwani sakata liishee afu tutawekaa sawaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
mbna pambeeee,
 
5. Kama ikiwezekana Watafutwe Wazee / Watu wa Hekima ( GENTAMYCINE nikiwemo ) tuweze Kukaa na Mchezaji na Uongozi wa Yanga SC ili tulimalize kwa Afya ya Mpira Wetu Tanzania.

Ndugu yake maweed anavyojipaisha sasa!
 
Leo umeruhusu visokolokwinyo wareply uzi wako, mbona hujawema angalizo??
 
Na chochote kinaweza vujishwa kama sio meseji ,voisi note au ka clipu kavideo kabisaa kuhusu ushenzi ushenzi tuu viko jikoni vinaandaliwa vizuri ili kutuvuruga kabisa na kutuhamisha mawazo tuache kufuatilia,, kusikia na kuhoji mambo ya hovyo yanayoendelea katika taifa,,Ili tufatitilie,,tusikie na kubishana kuhusu mambo ya hovyo na ambayo hayana msaada wowote kwa taifa ya kina fei toto,,tff na yanga!!!Wanacheza na akili zetu tuu watz hizi ni clipu zinaandaliwa nyuma ya pazia!!
 
Naomba niseme haya sio maono ni hisia tuu kama za mwanamke mwenye mimba kwa mumewe.
Sakata la Feisal sio kubwa kama linavyopambwa, mi naamini Injinia hana tatizo na mchezaji kiasi hicho na hata hivyo yupo karibu sana na wachezaji wetu.
Feisal anatumika kuihujumu club ya Yanga kwa kujua ama kutokujua na wale ambao wamejaribu wakati wa ligi ikashindikana.
Club pinzani ya Simba ilihitaji point sita tuu ili aweze kuwa sambamba na Yanga ambaye alikuwa anaongoza ligi.

Mechi na azam ilikuwa kubwa sana, kijana Feisal alikuwa tegemeo kwenye kikosi sasa akatumika kuihujumu Yanga ili apoteze hiyo mechi , ikumbukwe alitoka kupoteza mechi na IHefu hivyo kwa vyovyote vile fitina za mpira zilitumika.

Yanga ilisimama imara, angalia hata bao alilofunga Mayele dhidi ya Azam alivyolishangalia. Kwa sasa tukimaliza michezo yetu yote tukawa kama Simba ambao wanazurura tuu kwa sasa tutaanza kufuatilia hizi kesi.

Kuhusu kutoka hadharani kwa viongozi wa Yanga ili kujibu tuhuma, mi nadhani kukaa kimya kwa sasa ndio jibu zuri zaidi kwa sababu neno lolote atakalotoa Garib au Hersy ni dhahabu kwa wanahabari uchwara. [emoji123][emoji123]
 
Naomba niseme haya sio maono ni hisia tuu kama za mwanamke mwenye mimba kwa mumewe.
Sakata la Feisal sio kubwa kama linavyopambwa, mi naamini Injinia hana tatizo na mchezaji kiasi hicho na hata hivyo yupo karibu sana na wachezaji wetu.
Feisal anatumika kuihujumu club ya Yanga kwa kujua ama kutokujua na wale ambao wamejaribu wakati wa ligi ikashindikana.
Club pinzani ya Simba ilihitaji point sita tuu ili aweze kuwa sambamba na Yanga ambaye alikuwa anaongoza ligi.

Mechi na azam ilikuwa kubwa sana, kijana Feisal alikuwa tegemeo kwenye kikosi sasa akatumika kuihujumu Yanga ili apoteze hiyo mechi , ikumbukwe alitoka kupoteza mechi na IHefu hivyo kwa vyovyote vile fitina za mpira zilitumika.

Yanga ilisimama imara, angalia hata bao alilofunga Mayele dhidi ya Azam alivyolishangalia. Kwa sasa tukimaliza michezo yetu yote tukawa kama Simba ambao wanazurura tuu kwa sasa tutaanza kufuatilia hizi kesi.

Kuhusu kutoka hadharani kwa viongozi wa Yanga ili kujibu tuhuma, mi nadhani kukaa kimya kwa sasa ndio jibu zuri zaidi kwa sababu neno lolote atakalotoa Garib au Hersy ni dhahabu kwa wanahabari uchwara. [emoji123][emoji123]
Exactly. Dogo ni mhuni kila yanga inapokua na mechi kubwa lazima aibuke. Simba hajawahi kushinda ligi bila fitina. This time around kakutana na visiki vya mpingo.

Cha msingi dogo akaziwe uzi hivyohivyo liwe fundisho kwa wachezaji wahuni. Wakitumia busara ipo siku tutaamka tukutane na mzee wa kutetema anatutetemesha na kutujampisha au hata mwingine yyte kama huyu dogo.
 
Ni tahira na mpuuzi ndiye anayeweza kusapoti utahira wa huyo kijana, eti hana tatizo na Yanga wala hana tatizo la maslah bali ana tatizo la manyanyaso?.

Mwanzo wa sakata hili alitoka hadharani na kusema ameomba kuborehewa maslah yanga wakakataa, alisema hawezi kurudi yanga saizi anasema anaweza kurudi endapo Hersi ataondo! Huyu kijana amekuwa mpuuzi kiasi hiki?. Anashinda na Rais?, Kwenye mkataba Jana anasema ameongezewa mwaka mmoj wakati mkatab halisi ni miaka 2? Hivi siku anasaini huu mkataba kwani yanga hawakutoka hadharani na kusema ni mkataba wa miaka 4? Alikuwa wapi kwa kipindi chote kudai kuongeza mkataba pasina makubaliano?.
Kama mkataba wake unahusisha miaka miwili na sio 3 au 4 inayosemwa anachokifanya saizi chakutaka kuvunja mkataba anavunja mkataba upi asiyoutambua?, Kwanini asipeleke malalamiko ya kuongezewa muda wa mkataba na apeleke ombi la kuvunja mkataba?. Kupitia mahojiano ya jana hakuna mtu mwenye akili timamu asiyeendeshwa na mihemko akawa upande wake hata waliokuwa wanamsapoti wameona aibu wao.

Yanga shikilia mpini tuone mwisho wa upuuzi wake.
Sio mshikilie mwiko huko nyuma kama kawaida yenu tangu 1935?
 
Back
Top Bottom