Unatakiwa ujibu ulichoulizwa, kuita mtu mjuaji na kumpuuza ni dalili ya muoga, aliyeamua kujificha kwenye kivuli cha ujinga.Wajuaji kama nyinyi, huwa ninawapuuzia tu. Mchezaji amesaini mwenyewe mkataba, halafu mnaleta porojo za Aziz Kii.
Kwanza usikute hata mishahara ya wachezaji wa timu yako tu chini ya mwekezaji wenu janja janja, hata huijui! Ila ya wale wa Yanga, unaijua yote! Na hili ndilo tatizo lenu kubwa; kujitoa ufahamu.
Wewe ndio haupo serious, hiyo milioni 4 kama unaiona nyingi ni kwako kutokana na hali uliyonayo kimaisha, sio kwa Fei na mama yake, njaa zako usizihamishie kwa wengine, wao wame set standard yao ni above 4 milion, hilo sio kosa kwao.Kuna watu hawapo serious! Yaani mshahara wa milioni 4 anaona ni mdogo! na wakati
Imagine timu nzima ya Majimani Fc ilikosa milioni 1 tu ya kuwawezesha kusafiri kutoka Dar, kwenda Songea!! Hadi wakapata msaada kutoka kwa Erasto Nyoni mwenye asili ya huko!!
Mama amekosa kabisa hekima kwa kushindwa kumshauri mtoto wake kuto kuchezea kazi inayomuweka mjini, kwa kurubuniwa na matapeli.
- Yanga hawawezi kukuwekea wewe vipengele vya mkataba kwa sababu wewe sio muhusika wa huo mkataba. Mkataba ni siri baina ya wahusika.Mchezaji kusaini mwenyewe mkataba, hakuwezi kuwa sababu ya kumzuia kuuvunja ikiwa kuna kipengele husika kinachomruhusu kufanya hivyo kwenye mkataba wake, na ndicho Fei alichofanya, hili ni simple kabisa kueleweka ukiweka pembeni ushabiki na mahaba yako kwa timu.
Ajabu utopolo kwa upande wao, mpaka leo bado hawajatuwekea kipengele chochote kinachoonesha Fei kavunja makubaliano, wako kimya, na ajabu zaidi wanaendelea kumlipa Fei mshahara, kama sio kumtongoza arudi kwenye timu huko ni kufanyaje?
TFF nao kwa upande wao, wanaendelea kuwabeba kwenye maamuzi yao, sio sababu kwanini hutoa maamuzi nusu nusu na kusema mengine watayatoa siku za mbele, hizi haraka za TFF kwenye hili suala ni za nini? hawa wanatumiwa na wanasiasa.
Kama wewe hauna mahaba ya ajabu kwa timu yako, jiulize hayo maswali, usimkasirikie anayekuamsha usingizini ili utoke kwenye lindi la ujinga ulilopo.View attachment 2535594
- Yanga hawawezi kuniwekea mimi kwasababu hawana, ndio maana wanabebwa na TFF kwa kutoa maamuzi nusu nusu bila kuwepo taarifa kamili iliyojitosheleza, tuone vipengele gani Fei kavunja kwenye mkataba wake.- Yanga hawawezi kukuwekea wewe vipengele vya mkataba kwa sababu wewe sio muhusika wa huo mkataba. Mkataba ni siri baina ya wahusika.
- Yanga wanaendelea kumlipa Feisal kwa sababu Feisal bado ni mchezaji wao. Analipwa kwa muujibu wa mkataba wake aliosaini na Yanga.
- TFF kuna wanasheria, Yanga wana wanasheria, na Feisal pia anao wanasheria. Wote wamehusika na hilo shauri, hatujasikia upande wowote ukilalamika kua maamuzi hayakua ya haki.
- Hauwezi kuthibitisha kwamba yanga hawana makubaliano na Feisal.- Yanga hawawezi kuniwekea mimi kwasababu hawana, ndio maana wanabebwa na TFF kwa kutoa maamuzi nusu nusu bila kuwepo taarifa kamili iliyojitosheleza, tuone vipengele gani Fei kavunja kwenye mkataba wake.
- Feisal hatakiwi kulipwa mshahara bila kuutumikia, unaposema tu wanamlipa mshahara kwasababu ni mchezaji wao, hakusajiliwa ili akachezee nyumbani, fungua ubongo huo, wanachofanya Yanga kumlipa Fei mshahara wakati hachezi, ni sawa na kumrubuni kwasababu wamegundua ujinga wao.
- Hujasikia upande ukilalamika au hutaki kusikia? kama pasingekuwepo na malalamiko hilo suala lisingerudishwa TFF kwa ajili ya review.
Kuna watu duniani hapa mmekuja kimakosa sana. Halafu sijui ni kwa nini Jamii Forums watu wengi mnapenda kujitutumua mkiwa nyuma ya keyboard, na wakati wengi wenu ni wachovu tu!Wewe ndio haupo serious, hiyo milioni 4 kama unaiona nyingi ni kwako kutokana na hali uliyonayo kimaisha, sio kwa Fei na mama yake, njaa zako usizihamishie kwa wengine, wao wame set standard yao ni above 4 milion, hilo sio kosa kwao.
Unapoteza tu muda wako kuielewesha hiyo mbumbumbu ya Mh. Ismail Aden Rage. Kamwe haitakuelewa.- Hauwezi kuthibitisha kwamba yanga hawana makubaliano na Feisal.
- Hauwezi kuthibitisha kwamba TFF wanaibeba Yanga.
- Hauwezi kunakili au kuonyesha kanuni yoyote inayowataka TFF wakuonyeshe wewe yaliyomo kwenye mkataba ya Feisal na Yanga.
- Hauna uelewa wa masuala ya kisheria, ndio maana haujui kama hukumu hutolewa kwanza, kisha proceedings zinafuata baadae. Badala yake, unalalamika eti maamuzi yanatolewa nusu nusu!
- Upo utaratibu wa kufuatwa kama Feisal anadhani ameonewa. Aende CAS.
- Hautaonyeshwa yaliyomo kwenye mkataba wa Feisal kwa sababu hayakuhusu, wewe sio muhusika wa huo mkataba. Na hakuna kitu utafanya, zaidi ya kulialia huku mitandaoni.
Umeandika mashudu tu hapa. Najuta kwa nini nimepoteza muda wangu kusoma. 🚮Unatakiwa ujibu ulichoulizwa, kuita mtu mjuaji na kumpuuza ni dalili ya muoga, aliyeamua kujificha kwenye kivuli cha ujinga.
Mchezaji kusaini mwenyewe mkataba, hakuwezi kuwa sababu ya kumzuia kuuvunja ikiwa kuna kipengele husika kinachomruhusu kufanya hivyo kwenye mkataba wake, na ndicho Fei alichofanya, hili ni simple kabisa kueleweka ukiweka pembeni ushabiki na mahaba yako kwa timu.
Ajabu utopolo kwa upande wao, mpaka leo bado hawajatuwekea kipengele chochote kinachoonesha Fei kavunja makubaliano, wako kimya, na ajabu zaidi wanaendelea kumlipa Fei mshahara, kama sio kumtongoza arudi kwenye timu huko ni kufanyaje?
TFF nao kwa upande wao, wanaendelea kuwabeba kwenye maamuzi yao, sio sababu kwanini hutoa maamuzi nusu nusu na kusema mengine watayatoa siku za mbele, hizi haraka za TFF kwenye hili suala ni za nini? hawa wanatumiwa na wanasiasa.
Kama wewe hauna mahaba ya ajabu kwa timu yako, jiulize hayo maswali, usimkasirikie anayekuamsha usingizini ili utoke kwenye lindi la ujinga ulilopo.View attachment 2535594
Kwa Fei hiyo pesa ni ndogo dada, kumbuka huyu ni mchezaji, jinsi miaka inaenda ndvyo nguvu na uwezo hata kiwango kinapungua, imagine 36 yrs anaacha soka afu hana cha maana alichopataa, ataishije kuelekea uzee wake?Ila jamani twende mbele na kurudi nyuma huo mshahara sio mdogo sema angeomba aongezewe tuu maslahi kwa taratibu nzuri..ila kuja public na kusema mshahara mdogo wkt kuna watu wanalipwa laki 5 na maisha yanaenda sidhani kama ni kitu sahihi..
Sema angeomba mkataba upitiwe aongezewe maslahi yake kulinga na kazi yake na umuhimu wake pia...
Hakikaaaa.Kwa ufupi Fei ana haki ya kuvunja mkataba kama mkataba wenyewe unavyoelekeza. Sasa kula sukari na hizo mambo mnazoshadadia ni kachumbari tu lakini Fei yupo huru kuvunja mkataba.
Mkataba waliomsainisha Yanga ndio una matobo na hayo ndio yataifelisha Yanga kama kesi ikienda kwa weledi. Tusubiri
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Kwa mtu yeyote mtafutaji, ukimuambia hii hela ni ndogo; anaweza kukuchapa hata kibao. Kwangu mimi hata shilingi 100 ni kubwa. Maana ukiitoa katika fedha yoyote ile, utakapoitoa hiyo shilingi 100 na thamani ya hiyo pesa itabadilika.Nyingi kwako mkuu,kuna waziri mmoja alisema mil 10 ni pesa ya mboga tu...maisha hubadilika kulingana na hadhi,mazingira na majukumu, kwa mfano wewe hapo unaweza kuiona nyingi kutegemeana na mazimgira yako,majukumu yako na hadhi yako....
Tafuta Hela.
Ukweli mtupuuuu huuu. Umeamaliza kila kitu.Shida sio hiyo 4m ,kinachomuumiza fei nadhan ni uongoz wa yanga kuwapaparikia Sana wageni kwa kuwapa huduma nzuri na kuishi Kama wafalme wakat kazi wanapiga ya kawaida Sana na pengine kuwazid hao.
Imagine aziz na Morrison wanamzid nn fei?
Wengi mmekomaa na mkataba ,ni sahihi alinisain kulingana na mazingira ya vilabu vyetu kutojar wazawa ,lakin Kuna muda busara lazima ichukue nafas na kuona umuhimu wa mtanzania mwenzenu ,why hatuthamin vya kwetu?
Elimu yao ndogo kuhusu mikataba isiwe fimbo ya kuwachapia ,fei kafanya haya ili awaamshe na wengine .
Kiwango kinapopanda lazima na thaman ya mtu iongezeke .
Mbona vilabu vinaongeza mikataba ya wachezaj hata kabala hajamaliza mkataba na kunoresha maslah hasa wakiona Kuna faida kwa upande wao.
Yanga hawakuona faida kwa fei ,na fei alijiona kiwango kimekua ndipo akataka aondoke kwa kuvunja mkataba maana hata vilabu huvunja mikataba ya wachezaj km hawajaridhika nao.
Ni mjinga tu ataungana na viongozi wa yanga kukubali fei aliwe 4m huku wahuni km Morrison wanakunja 23m, aziz 27m,Yaan fei sio wa kuzidiwa salary had na akina Aucho.
Akil yangu inaniambia fei ni yanga damu Ila uongoz wa yanga umeamua kumsalit mwana yanga aliyepambana kwenye Vita vyote ,wakat wa mafanikio wanamtenga.
Jaman mie nilijua Fei anapata zaidi ya 10m, khaaah eti 4m [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mpemba mkataba unasoma 12mil ila wajuaji wanadalalia mshahara wake mwisho wa siku anakula 2,tena sio 4 kama mlivyoskia.
Viongozi wa soka bongo wana tabia ya kudharau sana wachezaji wa ndani,utawaskia "aaaarrgh kwa mpira gani bwana".
Nlikuwa namskia bwana bahanuzi alipotoka mtibwa kwenda yanga,aseee ni majanga yaani dharau alizooneshwa na viongozi wa yanga kipindi kile mi nisingeweza kuvumilia asee.
Ila ndo basi tena,tuendelee kuwanyenyekea kina aziz ki huku tunawashusha hadhi kina feisal.
Wakipata mtu wa kuwaheshimisha,tunawabania ili tuharibu career yao kwa lengo la kuwakomoa.
Ahsanteeeeee na mie nataka kujua hili suala LA team kuvunja mkataba wa mchezaji.Nakuelewa kidogo ,Ila ukakasi upo hapa tu ,why vilabu vina power ya kuvunja mkataba wa mchezaji muda wowote wakiona hawajaridhishwa na kiwango chake?
Hiyo Sheria sijui kanuni mbona km imeegemea upande mmoja?
Mifano ipo mingi tu ya vilabu kumvunjia mkataba mchezaji hata Kama yeye hakutaka kuondoka kwa muda huo Ila vilabu vinakua na power Sana had wachezaji wanajikuta wanaondoka bila kupenda.
Naomba elimu juu ya hili.
Sasa km mchezaji hataki kutokaaaa,???Ok, nimejipa kazi ya kukuelewesha mkuu.
Ni rahisi kwa club kuvunja mkataba na mchezaji kwa sababu wanakua hawamuhitaji tena kuitumikia team yao. Kama hamuhitaji, maan yake hana nafasi ya kucheza.
Mchezo wa mpira huwa unaathiriwa kwa kiasi kikubwa na umri wa mchezaji. Ndio maana inakua rahisi kwa wachezaji kukubali kuondoka/kuvunjiwa mkataba ili waende sehemu nyingine ambayo watapata nafasi ya kucheza.
Lakini pia kwenye kuvunja mkataba wa mchezaji, huwa hawamtimui tu kienyeji. Huwa analipwa fidia nzuri tu. Mara nyingi huwa wanapewa asilimia kubwa ya mshahara wa muda uliokua umebakia kwenye mkataba wao.
Ndio maana huwa inakua rahisikwa club kuuvunja mkataba. Kuliko kubaki kwenye team ambayo hauchezi, ni nafuu kuchukua pesa then ukatafute team nyingine ambayo itakupa nafasi ya kucheza. Wachezaji wanajua, kadri wanavyopata muda mchache zaidi wa kucheza, ndivyo thamani yao inavyozidi kushuka.
Atabaki, ila benchi linamuhusu.Sasa km mchezaji hataki kutokaaaa,???