Mgibeon
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 11,308
- 21,507
Machafu huonekana Masafi Yakiwepo! Leo Hela imeonekana ndogo Kwa sababu Master Key na Screen Protector wanachukua Mkwanja Mrefu!
Iko hivi, Hata leo waamue kumlipa Fei toto mil 30 kwa Mwezi mathalani, wakaja wachezaji wengine wakawa wanalipwa labda 50mil kwa mwezi, Fei atasusa tena atasema anaonewa, anadhulumiwa!
Huyo aliyempa zile milion 100+ za kuilipa Yanga, Amlipe sasa Milion 20 kila mwezi awe anampigia danadana kwenye bustani yake pale nyumbani kwake pale Msasani Peninsula.
Iko hivi, Hata leo waamue kumlipa Fei toto mil 30 kwa Mwezi mathalani, wakaja wachezaji wengine wakawa wanalipwa labda 50mil kwa mwezi, Fei atasusa tena atasema anaonewa, anadhulumiwa!
Huyo aliyempa zile milion 100+ za kuilipa Yanga, Amlipe sasa Milion 20 kila mwezi awe anampigia danadana kwenye bustani yake pale nyumbani kwake pale Msasani Peninsula.