Amina mkuu, hatuwezi kuongozwa na watumwa wa mabeberu.
Watapambaana lakini watashindwa tu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watapambaana lakini watashindwa tu!
After all kila mtu ana perceptions zake, very good.
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Tayari ishawekwa sasaMimi binafsi nakataa kuwa "Tanzania kuwekwa kwenye orodha ya uchumi wa kati ni matumizi mabaya ya akili "
Mjinga pekee ndio anaweza kukubali huo ujinga
Kama Waziri Mwakyembe wote wanangojea mbeleko ya Papaa Chakubanga, kwani huko wote ni watoaji na wapokea rushwa tofauti ni viwango tu.Umesikika Naibu W. Ulifanikiwa kupenya kwenye kura za maoni kule Songwe?
Nashauri vyombo vya dola viendelee kumpuuza kabisa, kuchukua hatua dhidi yake nikimpa kick, siku hazigandi kwani tarehe 28/10/2020 ni keshokutwa tu hapo.Umemaliza, ana hasira mbaya sana itakayomgharimu zaidi ya kile alichopata vilevile ana umimi so hafai kuwa kiongozi.
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Nashukuru kwa Kulijua hilo japo naona umechelewa. Kwa Kukusaidia tu kuna Mtu ni 'Mmimi' hasa ila najua kwakuwa unampenda Unamficha hapa.
Kibatali cha zamani, kilichochoka hata kikijifaragua namna gani, huishia kutoa joto na moshi mwingi, badala ya mwanga. Ndio nyie Lumumba.
Mwangalieni 'yesu wa burigi' anavyohanjahanja kugawa mihela ndio utajua kishindo cha Lissu aliyeinuka baada ya kuraruriwa na marisasi 36.
Kumbe unaakili ila ukienda kwenye jukwaa la Liverpool una act ujingaMimi binafsi nakataa kuwa "Tanzania kuwekwa kwenye orodha ya uchumi wa kati ni matumizi mabaya ya akili "
Mjinga pekee ndio anaweza kukubali huo ujinga
Mwenye hasira ni yule aliyeamuru Lissu amiminiwe risasi zaidi ya 16 kwa kuwa tu anapingana na hoja zake.Umemaliza, ana hasira mbaya sana itakayomgharimu zaidi ya kile alichopata vilevile ana umimi so hafai kuwa kiongozi.
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app