Baada ya kunikula kanichunia

Em kumbuka vizuri labda bikir ulishatoaga utotoni[emoji1]
 
For real haukuwa bikra usidanganye Jukwaa, Ndo maana nilipiga mara moja nikaondoka.

Maana nilichoka kuelea.
 
vijana kama nyinyi mna mchango mdogo sana kwenye taifa hili...
 
Naimind Sana hyo bikira yakoπŸ€”
Bora hata ungenipa Mimi kuliko kumpa huyu jamaa, inasikitisha Sana kwa kweli.
 
Kiukweli wasichana mabikra wengi kwenye mahusiano wanakuaga na akili "kama watoto", mambo yao hayaeleweki eleweki.
 
Hakika watu wamekufata sna dm kukuomba kukuliwaza
 
Huyu mtu huenda anashida ya kusahau....
Ana nyuzi humu alizozinguana na HAYA LAND mpk kamtisha kutaka kumfanya kitu mbaya...
 
Bikira Maria Mama wa familia, utuombee.
Bikira Maria Mama mwema, utuombee.

Enyi Watakatifu wote wa Mungu - Mtuombee
Bwana awe nanyi!!!!!
 
Kweli we ni wa kudanganya miaka kweli?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hahahahaha umeamua kushusha rozari kabisa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Bikira Maria Mama wa familia, utuombee.
Bikira Maria Mama mwema, utuombee.

Enyi Watakatifu wote wa Mungu - Mtuombee
Bwana awe nanyi!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…