Baada ya kunikula kanichunia

Baada ya kunikula kanichunia

Daaaaaah kwa hiyoo ndo umeamua Kuja kunsimanga huku jamvinii??
Basi sawaa, haina shida
 
Samahani ukifanya mara moja bikira inaweza kurudi??
Ushauri kwako kama dada MKUBWA, never ever ruhusu mwanaume acheze na mwili au hisia zako b4 marriage..... ukiwa kwenye ndoa kila unalofanya ni ibada na Mola Mlezi anakulipa, yaani sex, kumhudumia mwenza wako na mfano wa hayo...

Sasa umeteleza, Frank ni chui aliyejificha kwenye ngozi ya kondoo na akatimiza AZMA yake ametembea!!! Jitulize, mwombe Mungu atakuletea wa kufanana na wewe na mtaoana na kujenga familia.

HAKUNA MWANAUME UTAMWAMBIA UKO BIKRA HALAFU ATAKUACHA KIRAHISI, HAWA VIUMBE MBAKA KUKUFULIA ATAKUFULIA HATA KUKUBEBA MGONGONI ATAKUBEBA ILI TU AKUPATE!!!

Huoni nyuzi zinazoanzishwa hapa MTU YUPO TAYARI HATA KWENDA KUCHUKUA MKOPO WA RIBA ILI TU AMPATE MSICHANA???

Ni wachache sana waliosafi, na hawa Mungu anawapitisha kwenye mapito yake na kuwakutanisha na wanaofanana nao.
 
Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu

Huyu kaka tumekuwa na mahusiano kwa zaidi ya mwaka na miezi8 kwa jina lake ni Frank kwa wale mliofuatilia nyuzi zangu za nyuma Frank ndio huyo mchaga ambae hayuko romantic… Kama nilivyowaambia mwanzo hatujawahi kukulana mpk mwezi uliopita ndio tulifanikiwa kukulana
Nikiwa nimetimiza miaka25 mwezi uliopita niliona sio mbaya kumtunuku ninaemwita mpenzi wangu Frank

Hata yeye alifurahi maana ndio mwanaume wa kwanza kunikula (kanibikiri) akaniahidi ahadi kedekede,, basi ndio hivyo kaniingiza kwenye ulimwengu wa mapenzi

Sasa ndugu zangu mimi ndio bikira yangu ishaenda na maji na mwanaume kanichunia.. baada ya tendo alionesha kunikea Kama wiki mbili hivi baada ya hapo akasafiri kwenda mahali fulani ndio mambo yakarudi kama mwanzo hanitafuti mpk nimuanze… mara ya mwisho nilimtumia sms kumuuliza Kama amesharudi akaninyamazia hakunijibu

Tangu hapo sikumtafuta baada ya kama wiki moja akanitumia sms kunijulia hali nami sikumjibu na wala sikuifungua mpk hivi leo navoongea ni wiki ya 3 sijamjibu wala kumsemesha … nilikuwa na view status zake nae ana view zangu ila baadae nikaona kimyaa sioni status zake wala sioni akiview zangu

Leo sasa nikaona niifungue sms yake niangalie dp nakutana na kivuli ikabidi nimuulize sister angu kwamba anaona status za Frank akajibu ndio ni kamwambia na dp aka screenshot akanitumia nikajua tu hapa nimeblockiwa

Jamani kusema kweli pamoja na kukaliana kimya sikuwai kuumia Kama Leo baada ya kujua kumbe kaniblock

Inamaana huyu jamaa kaamua anibikiri afu anibwage…

Nyie kumbe huyu jamaa nimempenda ukweli nilifikiri masikhara ila ndio hivyo tena

Sijutii kutolewa bikira…. Kinachooniuma ni kujua kwamba hanipendi

Ni hayo tu naombeni mniliwaze [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Karibu katika ulimwengu. Ilinde ile bikra iliyobakia
 
Karibu kwenye ulimwengu wa hit and run. Hizi mambo za kawaida siku hizi usiingie kwenye mahusiano mazima
 
Ushauri kwako kama dada MKUBWA, never ever ruhusu mwanaume acheze na mwili au hisia zako b4 marriage..... ukiwa kwenye ndoa kila unalofanya ni ibada na Mola Mlezi anakulipa, yaani sex, kumhudumia mwenza wako na mfano wa hayo...

Sasa umeteleza, Frank ni chui aliyejificha kwenye ngozi ya kondoo na akatimiza AZMA yake ametembea!!! Jitulize, mwombe Mungu atakuletea wa kufanana na wewe na mtaoana na kujenga familia.

HAKUNA MWANAUME UTAMWAMBIA UKO BIKRA HALAFU ATAKUACHA KIRAHISI, HAWA VIUMBE MBAKA KUKUFULIA ATAKUFULIA HATA KUKUBEBA MGONGONI ATAKUBEBA ILI TU AKUPATE!!!

Huoni nyuzi zinazoanzishwa hapa MTU YUPO TAYARI HATA KWENDA KUCHUKUA MKOPO WA RIBA ILI TU AMPATE MSICHANA???

Ni wachache sana waliosafi, na hawa Mungu anawapitisha kwenye mapito yake na kuwakutanisha na wanaofanana nao.
Sema ukweli wako toka moyoni, kama usingempata mwanaume mwenye malengo ya kukuoa ungekaa na bikra yako hadi unazeeka nayo?

Maana kuna wanawake hawajawahi kupata wanaume wa kutaka kuwaoa tangu wamevunja ungo hadi ujana unawapita na wanazeeka hivohivo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu

Huyu kaka tumekuwa na mahusiano kwa zaidi ya mwaka na miezi8 kwa jina lake ni Frank kwa wale mliofuatilia nyuzi zangu za nyuma Frank ndio huyo mchaga ambae hayuko romantic… Kama nilivyowaambia mwanzo hatujawahi kukulana mpk mwezi uliopita ndio tulifanikiwa kukulana
Nikiwa nimetimiza miaka25 mwezi uliopita niliona sio mbaya kumtunuku ninaemwita mpenzi wangu Frank

Hata yeye alifurahi maana ndio mwanaume wa kwanza kunikula (kanibikiri) akaniahidi ahadi kedekede,, basi ndio hivyo kaniingiza kwenye ulimwengu wa mapenzi

Sasa ndugu zangu mimi ndio bikira yangu ishaenda na maji na mwanaume kanichunia.. baada ya tendo alionesha kunikea Kama wiki mbili hivi baada ya hapo akasafiri kwenda mahali fulani ndio mambo yakarudi kama mwanzo hanitafuti mpk nimuanze… mara ya mwisho nilimtumia sms kumuuliza Kama amesharudi akaninyamazia hakunijibu

Tangu hapo sikumtafuta baada ya kama wiki moja akanitumia sms kunijulia hali nami sikumjibu na wala sikuifungua mpk hivi leo navoongea ni wiki ya 3 sijamjibu wala kumsemesha … nilikuwa na view status zake nae ana view zangu ila baadae nikaona kimyaa sioni status zake wala sioni akiview zangu

Leo sasa nikaona niifungue sms yake niangalie dp nakutana na kivuli ikabidi nimuulize sister angu kwamba anaona status za Frank akajibu ndio ni kamwambia na dp aka screenshot akanitumia nikajua tu hapa nimeblockiwa

Jamani kusema kweli pamoja na kukaliana kimya sikuwai kuumia Kama Leo baada ya kujua kumbe kaniblock

Inamaana huyu jamaa kaamua anibikiri afu anibwage…

Nyie kumbe huyu jamaa nimempenda ukweli nilifikiri masikhara ila ndio hivyo tena

Sijutii kutolewa bikira…. Kinachooniuma ni kujua kwamba hanipendi

Ni hayo tu naombeni mniliwaze [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Sogea nikukunekune mgongoni, nikunyonye sikio, utasahau tu!!!!!
 
Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu

Huyu kaka tumekuwa na mahusiano kwa zaidi ya mwaka na miezi8 kwa jina lake ni Frank kwa wale mliofuatilia nyuzi zangu za nyuma Frank ndio huyo mchaga ambae hayuko romantic… Kama nilivyowaambia mwanzo hatujawahi kukulana mpk mwezi uliopita ndio tulifanikiwa kukulana
Nikiwa nimetimiza miaka25 mwezi uliopita niliona sio mbaya kumtunuku ninaemwita mpenzi wangu Frank

Hata yeye alifurahi maana ndio mwanaume wa kwanza kunikula (kanibikiri) akaniahidi ahadi kedekede,, basi ndio hivyo kaniingiza kwenye ulimwengu wa mapenzi

Sasa ndugu zangu mimi ndio bikira yangu ishaenda na maji na mwanaume kanichunia.. baada ya tendo alionesha kunikea Kama wiki mbili hivi baada ya hapo akasafiri kwenda mahali fulani ndio mambo yakarudi kama mwanzo hanitafuti mpk nimuanze… mara ya mwisho nilimtumia sms kumuuliza Kama amesharudi akaninyamazia hakunijibu

Tangu hapo sikumtafuta baada ya kama wiki moja akanitumia sms kunijulia hali nami sikumjibu na wala sikuifungua mpk hivi leo navoongea ni wiki ya 3 sijamjibu wala kumsemesha … nilikuwa na view status zake nae ana view zangu ila baadae nikaona kimyaa sioni status zake wala sioni akiview zangu

Leo sasa nikaona niifungue sms yake niangalie dp nakutana na kivuli ikabidi nimuulize sister angu kwamba anaona status za Frank akajibu ndio ni kamwambia na dp aka screenshot akanitumia nikajua tu hapa nimeblockiwa

Jamani kusema kweli pamoja na kukaliana kimya sikuwai kuumia Kama Leo baada ya kujua kumbe kaniblock

Inamaana huyu jamaa kaamua anibikiri afu anibwage…

Nyie kumbe huyu jamaa nimempenda ukweli nilifikiri masikhara ila ndio hivyo tena

Sijutii kutolewa bikira…. Kinachooniuma ni kujua kwamba hanipendi

Ni hayo tu naombeni mniliwaze [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Au wew una sura ya baba kwanin ale na kuondoka Ila hamna kitu kinauma Kama mtu akubrock whsp
 
Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu

Huyu kaka tumekuwa na mahusiano kwa zaidi ya mwaka na miezi8 kwa jina lake ni Frank kwa wale mliofuatilia nyuzi zangu za nyuma Frank ndio huyo mchaga ambae hayuko romantic… Kama nilivyowaambia mwanzo hatujawahi kukulana mpk mwezi uliopita ndio tulifanikiwa kukulana
Nikiwa nimetimiza miaka25 mwezi uliopita niliona sio mbaya kumtunuku ninaemwita mpenzi wangu Frank

Hata yeye alifurahi maana ndio mwanaume wa kwanza kunikula (kanibikiri) akaniahidi ahadi kedekede,, basi ndio hivyo kaniingiza kwenye ulimwengu wa mapenzi

Sasa ndugu zangu mimi ndio bikira yangu ishaenda na maji na mwanaume kanichunia.. baada ya tendo alionesha kunikea Kama wiki mbili hivi baada ya hapo akasafiri kwenda mahali fulani ndio mambo yakarudi kama mwanzo hanitafuti mpk nimuanze… mara ya mwisho nilimtumia sms kumuuliza Kama amesharudi akaninyamazia hakunijibu

Tangu hapo sikumtafuta baada ya kama wiki moja akanitumia sms kunijulia hali nami sikumjibu na wala sikuifungua mpk hivi leo navoongea ni wiki ya 3 sijamjibu wala kumsemesha … nilikuwa na view status zake nae ana view zangu ila baadae nikaona kimyaa sioni status zake wala sioni akiview zangu

Leo sasa nikaona niifungue sms yake niangalie dp nakutana na kivuli ikabidi nimuulize sister angu kwamba anaona status za Frank akajibu ndio ni kamwambia na dp aka screenshot akanitumia nikajua tu hapa nimeblockiwa

Jamani kusema kweli pamoja na kukaliana kimya sikuwai kuumia Kama Leo baada ya kujua kumbe kaniblock

Inamaana huyu jamaa kaamua anibikiri afu anibwage…

Nyie kumbe huyu jamaa nimempenda ukweli nilifikiri masikhara ila ndio hivyo tena

Sijutii kutolewa bikira…. Kinachooniuma ni kujua kwamba hanipendi

Ni hayo tu naombeni mniliwaze [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
choo unacho dada mzungu?
 
Usiseme kukulana,hakuna neno Hilo.
Umeliwa,na inawezekana amekuta maji tu na break pumbu,sasa tuliza kipapa Cha Nazi.
 
images.jpeg
 
Back
Top Bottom