mamamzungu
JF-Expert Member
- Nov 17, 2019
- 2,554
- 4,271
- Thread starter
- #141
huu mwandiko wa mwanamke aliyetolewa bikra akiwa na miaka 10 tu.
ila pole
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huu mwandiko wa mwanamke aliyetolewa bikra akiwa na miaka 10 tu.
ila pole
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabla ya yote kumbe ulikuwa bikra mimi mbona kama sikuiyona vile,au ulimpa kwanza salim kabla yanguNataka nikampe salim
What a Miracle !!
Frank kabakiza 71 Kati ya wale 72.
Kama sio shabu na Malimao..cjui.
Fure kastuka bhana[emoji41]
View attachment 2402242
ndoa hadi niipate na nyingine kwanza, ili niamini kama ni kweli
kabla ya yote kumbe ulikuwa bikra mimi mbona kama sikuiyona vile,au ulimpa kwanza salim kabla yangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe kuna muandiko wa bikira na hamtujuzii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
kwani UTU ndo bikra? sasa mbona wewe UTU unao lakini bikra Huna?Salim ndio anefuatia baada yako si huna utu wewe
kwani UTU ndo bikra? sasa mbona wewe UTU unao lakini bikra Huna?
Ila tusammeheane utalipwa mbinguni
Hahahahaha!Frank kunywa soda nakuja kulipa...Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu
Huyu kaka tumekuwa na mahusiano kwa zaidi ya mwaka na miezi8 kwa jina lake ni Frank kwa wale mliofuatilia nyuzi zangu za nyuma Frank ndio huyo mchaga ambae hayuko romantic… Kama nilivyowaambia mwanzo hatujawahi kukulana mpk mwezi uliopita ndio tulifanikiwa kukulana
Nikiwa nimetimiza miaka25 mwezi uliopita niliona sio mbaya kumtunuku ninaemwita mpenzi wangu Frank
Hata yeye alifurahi maana ndio mwanaume wa kwanza kunikula (kanibikiri) akaniahidi ahadi kedekede,, basi ndio hivyo kaniingiza kwenye ulimwengu wa mapenzi
Sasa ndugu zangu mimi ndio bikira yangu ishaenda na maji na mwanaume kanichunia.. baada ya tendo alionesha kunikea Kama wiki mbili hivi baada ya hapo akasafiri kwenda mahali fulani ndio mambo yakarudi kama mwanzo hanitafuti mpk nimuanze… mara ya mwisho nilimtumia sms kumuuliza Kama amesharudi akaninyamazia hakunijibu
Tangu hapo sikumtafuta baada ya kama wiki moja akanitumia sms kunijulia hali nami sikumjibu na wala sikuifungua mpk hivi leo navoongea ni wiki ya 3 sijamjibu wala kumsemesha … nilikuwa na view status zake nae ana view zangu ila baadae nikaona kimyaa sioni status zake wala sioni akiview zangu
Leo sasa nikaona niifungue sms yake niangalie dp nakutana na kivuli ikabidi nimuulize sister angu kwamba anaona status za Frank akajibu ndio ni kamwambia na dp aka screenshot akanitumia nikajua tu hapa nimeblockiwa
Jamani kusema kweli pamoja na kukaliana kimya sikuwai kuumia Kama Leo baada ya kujua kumbe kaniblock
Inamaana huyu jamaa kaamua anibikiri afu anibwage…
Nyie kumbe huyu jamaa nimempenda ukweli nilifikiri masikhara ila ndio hivyo tena
Sijutii kutolewa bikira…. Kinachooniuma ni kujua kwamba hanipendi
Ni hayo tu naombeni mniliwaze [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Basi poleMimi kama mimi sijakukosea kitu ila wewe ndio umenikosea yaani unibikiri afu uuchune
Hahahahaha!Frank kunywa soda nakuja kulipa...
😂😂😂Kaona ameporomokea 😂😂😂😂😂😂😂 Labda hakuikuta
OG ongezea gundi au ?Kitu OG
OG ongezea gundi au ?
Pole sana mkuu
Madhara ya kumchunia kumtunuku tunda huo muda ni mrefu sana kumpea na sasa alipoonja amekuta hakuna uhalisia wa kile unachodai u bikira.Kalinganisha mali yake iliyopotea muda mrefu na uongo wa kuwa bikira ameona asepe kimya kimya bila mtafaruku.Kwanza sio bikra ni bikira
Anyway sijaandika kumuhakikishia mtu nimeandika nipate hafueni nimechoka kuumia kimyakimya